jamani ni mapema mno!!!

Wenzio wanalipia ada na mwisho wanaachwa fanya kulingana na uwezo wako.
 
kwanza kabisa hakikisha unamjulisha kuwa tabia yake ya kuomba pesa/salio inakukera huwezi jua yuko na wewe kimaterialy hivyo take care pia huwezi ukakurupuka kama jengo liloshika moto eti mnataka muoane na mtu ambaye bado hata humjui vizuri kitabia chukua muda mchunguze vizuri inawezewekana anataka akutumie zaidi kiuchumi halafu akishakamilisha mahitaji yake anasepa watch out.
 

mpe hela demu akupende acha kulia lia mtoto wa kiume!!!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…