Kulikoni ukasome uhasibu ni bora mara elfu ukasome NursingNimemaliza kidato cha nne mwaka juzi sasa hivi nataka nikasomee account sijui nifanyeje wapendwa?
Jamani kweli naombeni ushauri masomo ni magumu sana au nikomae hivi hivi tuu
Ukienda kusoma account ukasomee akaunti ya escrow ili tuje kuwashika akina chenge...Nimemaliza kidato cha nne mwaka juzi sasa hivi nataka nikasomee account sijui nifanyeje wapendwa?
Jamani kweli naombeni ushauri masomo ni magumu sana au nikomae hivi hivi tuu