Jamani nahitaji msaada wa haraka ng'ombe wangu anaangamia!!

startergear

JF-Expert Member
Jun 2, 2015
724
977
Wadau wa jukwaa hili nina imani kubwa sana nitasaidiwa na wataalam wa mambo ya mifugo hapa.

Ni hivi nina ng'ombe wangu hapa ambaye alipandwa mwezi februali mwaka huu, tatizo ni kwamba tangu apate mimba amekuwa akisumbua kila uchwao, mfano huwa anagoma kunywa maji mara nyingine unywaji wake ni kidogo sana.

Lakini anajisaidia kinyesi lainiii mno, halafu sometimes anashindwa kunyenyuka mpaka tutumie nguvu kumuinua. Alikuja mtaalam wa mifugo akasema ana minyoo na hawezi kumpa dawa kwa sababu ana mimba hivyo ingetoka, akanishauri niwe nampa madini na vitamin A.

Nimempa weee mpaka nikawa nam'overdose lakini wapi, hivi sasa hana hata dalili ya kuzaa na anashindwa kunyenyuka kabisa.

Karibuni wadau mwenye uelewa na magonjwa na tiba za wanyama nisaidien please..
 
Huyu ngombe kafikaa mdaa wa kuzaa mkuu hapo anaishiwa madini ya calcium inabd apewe drip la calcium borogluconante .na kama upo jiran na vet.dr yeyote ungemwita aje ampasue atoe mtoto .labda tujue unapatikana wapi tukupe connection
Hilo litamfaa
 
Wadau wa jukwaa hili nina imani kubwa sana nitasaidiwa na wataalam wa mambo ya mifugo hapa.

Ni hivi nina ng'ombe wangu hapa ambaye alipandwa mwezi februali mwaka huu, tatizo ni kwamba tangu apate mimba amekuwa akisumbua kila uchwao, mfano huwa anagoma kunywa maji mara nyingine unywaji wake ni kidogo sana.

Lakini anajisaidia kinyesi lainiii mno, halafu sometimes anashindwa kunyenyuka mpaka tutumie nguvu kumuinua. Alikuja mtaalam wa mifugo akasema ana minyoo na hawezi kumpa dawa kwa sababu ana mimba hivyo ingetoka, akanishauri niwe nampa madini na vitamin A.

Nimempa weee mpaka nikawa nam'overdose lakini wapi, hivi sasa hana hata dalili ya kuzaa na anashindwa kunyenyuka kabisa.

Karibuni wadau mwenye uelewa na magonjwa na tiba za wanyama nisaidien please..
pole sana mkuu: Kuna vitu vingi sana tungependa kukuiliza hapa kabla ya kukushauri cha kufanya. Ni inbox nikutumie namba yangu ya simu or whatsup au skype ID nikushauri vizuri Zaidi if you are real serious. Au weka namba yako ya simu nikupigie. Asante sana. Pole sana
 
Huyu ngombe kafikaa mdaa wa kuzaa mkuu hapo anaishiwa madini ya calcium inabd apewe drip la calcium borogluconante .na kama upo jiran na vet.dr yeyote ungemwita aje ampasue atoe mtoto .labda tujue unapatikana wapi tukupe connection
mimi nipo kinyerezi huku kuna dr nimemwita jana kanipa ushauli kama wako tumemtundika dripu mbili lakn mpaka muda huu hajaonyesha mafanikio yoyote hapa namsubiri aje huyo dr. atoe maamuzi ya mwisho kama atashindwa basi nitaku pm mkuu. Asante kwa ushauri
 
Pole sana. Ninaamini wataalamu watakupa msaada wa uhakika, angalau ng'ombe aweze kuzaa salama.
 
pole sana mkuu: Kuna vitu vingi sana tungependa kukuiliza hapa kabla ya kukushauri cha kufanya. Ni inbox nikutumie namba yangu ya simu or whatsup au skype ID nikushauri vizuri Zaidi if you are real serious. Au weka namba yako ya simu nikupigie. Asante sana. Pole sana
 
mimi nipo kinyerezi huku kuna dr nimemwita jana kanipa ushauli kama wako tumemtundika dripu mbili lakn mpaka muda huu hajaonyesha mafanikio yoyote hapa namsubiri aje huyo dr. atoe maamuzi ya mwisho kama atashindwa basi nitaku pm mkuu. Asante kwa ushauri
Ni p.m mkuu nikupe conneftion
 
Mkuu Huyo ng'ombe kachukua muda gani tangu aanze kukaa chini? na dalili ya kutokunywa maji imeanza lini mkuu?

Naomba unijibu hayo maswali Mkuu....
 
Kawaida kama ana milk fever akipewa calcium boroglucanete anaamka hapo hapo.
Ukiona haamki kuna ugonjwa mwingine.
Mimba ina miezi mingapi?
 
Back
Top Bottom