hope wote mu wazma,
jaman naombeni mnisaidie hivi kuna dawa za typhoid ambazo husababisha damu kupungua mwilini?hope ntapata majibu mazuri
Unapotaka majibu mazuri basi uliza swali vizuri..mimi nakwambia hivi hizo dawa zipo..unadhani nimekusaidia kwa chochote?