Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,599
- 1,798
hapo lazima mtoto awekwe kati
unanikumbusha wimbo wa jamaa wa miondoko ya pwani anaimba MBELE KWANGU MWIKO!
MPEMBA
ANATONGOZA DEM : ntoto weyee wallahi wanimaliza, unrefu kama nkarafuu, mashaalla mishavuyo yang'ara km papai bivu, nywelezo zinyooka km kamba za mibungo, fua lintuna km nazi koroma, ayo maguuyo yanjaza km ndizi ya nkono wa tembo, he! Nfikiria mwenzio naumia mieeee...!!!
loooooo......kazi kwelikweliMPEMBA
ANATONGOZA DEM : ntoto weyee wallahi wanimaliza, unrefu kama nkarafuu, mashaalla mishavuyo yang'ara km papai bivu, nywelezo zinyooka km kamba za mibungo, fua lintuna km nazi koroma, ayo maguuyo yanjaza km ndizi ya nkono wa tembo, he! Nfikiria mwenzio naumia mieeee...!!!
Un'taka u'nskie zaidi hayaa twen'zetu Mchamba wima