love peace
Senior Member
- Sep 10, 2013
- 130
- 37
Habari zenu wana JF
Jaman sijaelewa why inakuwa hivi wandugu.Yan nilipost hum ombi lang la kusaidiwa kazi yoyote cause maisha yamekuwa magumu jamani, lakini watu waliniahidi vingi halafu wananipotezea.
Jaman napata tabu msipende kuongopea wakati mtu anapata tabu. Jamani nisaidien kazi mwenzenu nateseka, nimeshatuma maombi hata mia yanafika na nimezunguka na bahasha had Dar nitaimaliza.
Nisaidieni jamani.
Jaman sijaelewa why inakuwa hivi wandugu.Yan nilipost hum ombi lang la kusaidiwa kazi yoyote cause maisha yamekuwa magumu jamani, lakini watu waliniahidi vingi halafu wananipotezea.
Jaman napata tabu msipende kuongopea wakati mtu anapata tabu. Jamani nisaidien kazi mwenzenu nateseka, nimeshatuma maombi hata mia yanafika na nimezunguka na bahasha had Dar nitaimaliza.
Nisaidieni jamani.