Jamani Kwanini Inakuwa Hivi?

Jamani Kwanini Inakuwa Hivi?

love peace

Senior Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
130
Reaction score
37
Habari zenu wana JF

Jaman sijaelewa why inakuwa hivi wandugu.Yan nilipost hum ombi lang la kusaidiwa kazi yoyote cause maisha yamekuwa magumu jamani, lakini watu waliniahidi vingi halafu wananipotezea.

Jaman napata tabu msipende kuongopea wakati mtu anapata tabu. Jamani nisaidien kazi mwenzenu nateseka, nimeshatuma maombi hata mia yanafika na nimezunguka na bahasha had Dar nitaimaliza.

Nisaidieni jamani.
 
wengi wanafiki na wazandki mtegemee MUNGU siku moja utafanikiwa..,AMELAANIWA AMTEGEMEAE MWANADAMU
 
Habari zenu wana JF

Jaman sijaelewa why inakuwa hivi wandugu.Yan nilipost hum ombi lang la kusaidiwa kazi yoyote cause maisha yamekuwa magumu jamani, lakini watu waliniahidi vingi halafu wananipotezea.

Jaman napata tabu msipende kuongopea wakati mtu anapata tabu. Jamani nisaidien kazi mwenzenu nateseka, nimeshatuma maombi hata mia yanafika na nimezunguka na bahasha had Dar nitaimaliza.

Nisaidieni jamani.

Pole sana
Nakumbuka, lakini kwenye kutafuta kuna watu wa aina mbili wakweli na wadhati na wale wasio na uhakika. Lakini nikuombe subira ni muhimu maana haiwezekani mfano nikuchukue leo hala nakulipa miezi miwili kisha mwezi wa tatu na kuendelea nakuoiga kalenda, hivyo katika HR inatakiwa bajeti yako kama ya miezi sita basi iwepo au ya mwaka hivyo si uongo wakati mwingine wanajitahidi kuhakikisha wana- meet bajeti. Otherwise CV yako binafsi niliiona vuta subira
 
elimu yang ni chuo.lakin nahtaj kaz yoyote hata ya kuuza duka au restaurant.au kazi yoyote halali ndug yang.maisha yang ni magum sana.

I think hapo unakosea. What qualifications do you have? Ww unazunguruka tuu unashindwa kujinadi Graduate mzima? Kuwa straight tujue jinsi gani tukusaidiaje otherwise utabaki kulalamika tuu!
 
I think hapo unakosea. What qualifications do you have? Ww unazunguruka tuu unashindwa kujinadi Graduate mzima? Kuwa straight tujue jinsi gani tukusaidiaje otherwise utabaki kulalamika tuu!

nina degree ya public admistration.pia uwezo wa kufundsha ninao masomo kama english na kiswahili.
 
elimu yang ni chuo.lakin nahtaj kaz yoyote hata ya kuuza duka au restaurant.au kazi yoyote halali ndug yang.maisha yang ni magum sana.

Sasa kujieleza kwa style hii utapata kazi kweli? au hujui kama hata madrasat ni chuo pia?
 
Back
Top Bottom