Miili mingine ni ya asili tu jamani yani inawezekana uyu jamaa hata kula hali na mwili unakuja wenyewe sidhani kama yeye mwenyewe anaipenda hiyo hali kabla hujafa hujaumbika wakuu
Halafu anasema mkitaka apunguze mwili alipwe hela, utafikiri sisi ndo tupo kwenye risk ya kupata magonjwa.
.
.
Mi namuonea huruma mke wake, huyu angekuwa ni mume wangu ningempa likizo ya bila malipo.