Abigree
Member
- Nov 3, 2010
- 52
- 0
Kutokana na jinsi nchi inavyokwenda inaonesha watawala hawana akili,na wameweza kuwafanya watz pia kuwa hawana akili,wajione wasio na akili wala utamaduni,hata values mbele ya uso wa dunia.
Swal linalonisumbua ni kwa sina akil km watz wengine? Km ninazo,nimefanya nn had sasa kuzdemostrate? Jibu la haraka na rahis n hakuna.
Jaman,kwel jinsi mambo yanavyokwenda tz,maisha yanazd kuwa magum,watawala hawatuheshim,wanatunyonya,wanajinufaisha.
Mim kama mtanzania halisi na halali cfany kitu kuokoa hal hii, kweli ninazo akili timamu mimi! Msaada jamani
Swal linalonisumbua ni kwa sina akil km watz wengine? Km ninazo,nimefanya nn had sasa kuzdemostrate? Jibu la haraka na rahis n hakuna.
Jaman,kwel jinsi mambo yanavyokwenda tz,maisha yanazd kuwa magum,watawala hawatuheshim,wanatunyonya,wanajinufaisha.
Mim kama mtanzania halisi na halali cfany kitu kuokoa hal hii, kweli ninazo akili timamu mimi! Msaada jamani