Kuna wimbo ulitoka wakati niko primary lkn jina na msanii simkumbuki
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia kuupata either jina la wimbo au msanii nitashukuru sana
Baadhi ya mashairi ni kama hivi "sio kwamba sitaki demu ila sijamuona mwenye....."
Verse 1
"Mara ya kwanza kukuona ilkua coco beach ,nikaulza washkaj wakasema wewe ni bitch,wakadai unasoma shule moja mjini dar es salaam....
"
Msaada wenu maana JF hakiaribiki kitu
"