Jamani Husninyo anatafuta mchumba

dear Husninyo..... kwanini unabagua watu wafupi..?

actually, mimi ni saiz ya hasheem thabeet.. how do you see? nimezidi ama?
wapi nimebagua? hivi kama mimi cm 15 wewe ukiwa 20 si ushanizidi hapo.
 
Iko pazuri, kwa sasa imejitangaza tayari, ukiuliza kwa konda wa njia ile,wapi mabanda ya mbuzi atakushusha, tunaendelea na ujenzi wa nyumba ya samaki aina ya sato/perege. mdogo mdogo.

haya mkuu, ngoja nitafte weekend moja nije kushangaa shangaa huko. samaki watakuwa wa maonesho au mtakuwa mnauza? hongera sana mpaka hapo mlipofikia. tupo pamoja.
 
haya mkuu, ngoja nitafte weekend moja nije kushangaa shangaa huko. samaki watakuwa wa maonesho au mtakuwa mnauza? hongera sana mpaka hapo mlipofikia. tupo pamoja.

Watauzwa kwa ajili ya waliokuja kupumzika live,unavua mwenyewe kwa ndoana na unachagua kama unamchemsha mwenyewe au tukuchemshie,au unataka uondoke naye nyumbani kwako. Yaani kitu live. Hata jogoo itakuwa hivyo hivyo, unamchagua unayempenda akiwa bustanini akidonoa donoa duduz.
 


Husninyo nakuita dear! Ebu Jaribu kuongea na wifi yako Ennie akupe wasifu wangu Kua Mimi ndio tajiri Wa mang'ombe Gamboshi nzima! Au ongea na Shemeji yako Baba Paroko Mkuu Wa maparoko wote Duniani Eiyer akupe zangu kidogo! Maana ukiwasikiliza kina mwallu na miss neddy utaona wananipendelea sn!

Na Mimi nashariti Moja tu! Husninyo mbali ya wasifu wako wote Ulo eleza rangi yako hujaisema! We ni Mweupe?
 
Last edited by a moderator:

hiyo imetulia sana malila. vipi nikija mwezi wa tatu majogoo yatakuwa yameshakua nichinjiwe hapo hapo nijichane? au hiyo program bado sana? umenitamanishajeeee!!
 
Heee heee heeee!! mapenzi hayaangalii elimu, kimo, pesa... waweza mpata mwenye sifa zako na akakufanya uchoke kumkumbatia... kheri ya mdoli
Hiyo avatar ni picha ya kwako eti? Samahani lakini
 
hiyo imetulia sana malila. vipi nikija mwezi wa tatu majogoo yatakuwa yameshakua nichinjiwe hapo hapo nijichane? au hiyo program bado sana? umenitamanishajeeee!!

Tunafungua rasmi june, sasa hivi tunazalisha mbegu yetu ili tuwe na kuku wa kienyeji hasa, kwa hiyo tunakusanya vitewe,vishingo, bokea ili tupate breed nzuri ya mayai na nyama!!!!!!!!!!!!
 
Husninyo, nimekuja rasmi.
vigezo na masharti vimezingatiwa
 
Last edited by a moderator:
Mmmh apa kuwa kibabu kumenicost ndo maana hujanitag Husninyo duuh
 
Last edited by a moderator:
Tunafungua rasmi june, sasa hivi tunazalisha mbegu yetu ili tuwe na kuku wa kienyeji hasa, kwa hiyo tunakusanya vitewe,vishingo, bokea ili tupate breed nzuri ya mayai na nyama!!!!!!!!!!!!

dah, mie nilitaka nikamate fursa chapchap ya kusupply kuku kumbe mambo yote mshajipanga! Haina mbaya, ngoja nisubiri uzinduzi rasmi ila nikipata safari ya huko ya kikazi kabla nitapitia nipachabo.
 
dah, mie nilitaka nikamate fursa chapchap ya kusupply kuku kumbe mambo yote mshajipanga! Haina mbaya, ngoja nisubiri uzinduzi rasmi ila nikipata safari ya huko ya kikazi kabla nitapitia nipachabo.

Kila kitakacholiwa pale kwa sehemu kubwa kitazalishwa pale,samaki,kuku,bata,mbuzi wapo tayari,matunda ya pwani,mboga,miwa. Lengo ni kupata kitu natural ktk mazingira ambayo mlaji anayaona kwa macho, huku akila upepo wa mto uliopo hapo shambani.
 
Too selective as unataka kujaza nafasi ya kazi.Ngoja wenye sifa waje
 
Too selective as unataka kujaza nafasi ya kazi.Ngoja wenye sifa waje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…