Embu fungua hiyo link nimeona kazi yako hapo ....Mimi nina diploma ya Library na record, hata kama shule yako haina library naweza nkakuanzishia library kwa ajiri ya wanafunzi kuazima vitabu au kujisomea ,pia kwa upande wa record management pia natafuta kazi nisaidieni.
asante ngoja nifungueEmbu fungua hiyo link nimeona kazi yako hapo ....
Goodluck....