jaman post za jwtz na jkt tayari

jaman post za jwtz na jkt tayari

Arno bano

Member
Joined
Aug 21, 2013
Posts
16
Reaction score
1
jama kwa mwenye information zozote juu ya post za jkt na jw naomba anijuze plz coz weng wenu mlisema mwezi wa tisa ndo kitu kitakua hwewan kiukweli tunasubiri kwa hamu kubwa hii nafasi coz ndo mkombozi wetu aliyebakia nauliza ili nsije kuta wenzangu washaondoka nami nkabaki najilaum plz kama una uny updates aniinfom😕
 
tucklzie mkuu wengne wanasema mwez hu wengne wa 12 o 11 yan dilema kbao bt kwa uhakika wangu mwez wa 12 mey b kwa jkt
 
kuna mtu aliandika thread mwezi may kuwa M23 wanafanya proffesional recruitment akatoa link kabisa!jaribu kupitia kama jeshi mbadala kama ukikosa jwtz au jkt
 
kwakweli mie nafanya kazi karibu sana na maafande wa jwtz na wameniambia kuwa bado hazijatoka
 
Back
Top Bottom