M Mwanafilosofia Member Joined Jun 14, 2014 Posts 73 Reaction score 33 Jun 30, 2014 #1 Jamaan mwenye taarifa kuhusu tra? au ndo call for interview ishapita hivyo
T TONGINDI Senior Member Joined Nov 23, 2011 Posts 174 Reaction score 32 Jun 30, 2014 #2 Mwanafilosofia said: Jamaan mwenye taarifa kuhusu tra? au ndo call for interview ishapita hivyo Click to expand... tafuta kazi nyingne kaka, hakuna ki2 kule, system imebadilika, kazi kibao zinafanywa na computer hta waajiriwa wengne wanakaribia kutemwa kaka
Mwanafilosofia said: Jamaan mwenye taarifa kuhusu tra? au ndo call for interview ishapita hivyo Click to expand... tafuta kazi nyingne kaka, hakuna ki2 kule, system imebadilika, kazi kibao zinafanywa na computer hta waajiriwa wengne wanakaribia kutemwa kaka
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 72,935 Reaction score 102,692 Jun 30, 2014 #3 Mbona kazi nyingi sana mjini
K kamazari Member Joined Apr 25, 2014 Posts 9 Reaction score 1 Jun 30, 2014 #4 kama ingekuwa hivyo, kungekuwa na umuhimu gani wa serikali kutangaza nafasi mbali mbali katika kitengo cha mapato.Acha kukatisha watu tamaa weye.
kama ingekuwa hivyo, kungekuwa na umuhimu gani wa serikali kutangaza nafasi mbali mbali katika kitengo cha mapato.Acha kukatisha watu tamaa weye.
G golan Senior Member Joined May 8, 2013 Posts 175 Reaction score 6 Jun 30, 2014 #5 Kuweni na moyo ilikuwa inasubiriwa bajeti ipite kwanza so anytime wataanza kuita
qn of sheba JF-Expert Member Joined Sep 13, 2011 Posts 3,230 Reaction score 1,382 Jul 2, 2014 #6 Bado hawajaita
kalemauji JF-Expert Member Joined Jun 24, 2014 Posts 1,620 Reaction score 1,831 Jul 2, 2014 #7 wataita tu mkuu usijali