PSYCHOLOGY
Senior Member
- Feb 10, 2011
- 177
- 14
Habari JF!.
Jamaa mmoja wamemkata polisi kwa tuhuma za kawaida..si za kihaini.
Akafikishwa kituoni kwa maelezo na upelelezi.
Polisi kama mnavyojua ni wachafu makambini kwao hata vyoo vyao ni uchafu utafikir hawana akili hata moja.
Wakaja kumchukua jamaa ili aende kusafisha vyoo/maeneo yao polisi...
inaweza kua kwa osc au kwa polisi wa zamu siku hiyo au vinginevyo.
Sasa jamaa akagoma kufanya hivyo. Polisi wakaanza kumpa kichapo. Jamaa anaumwa anapata taabu.
Je, hivyo alivyofanyiwa ni sawa?
Jamaa mmoja wamemkata polisi kwa tuhuma za kawaida..si za kihaini.
Akafikishwa kituoni kwa maelezo na upelelezi.
Polisi kama mnavyojua ni wachafu makambini kwao hata vyoo vyao ni uchafu utafikir hawana akili hata moja.
Wakaja kumchukua jamaa ili aende kusafisha vyoo/maeneo yao polisi...
inaweza kua kwa osc au kwa polisi wa zamu siku hiyo au vinginevyo.
Sasa jamaa akagoma kufanya hivyo. Polisi wakaanza kumpa kichapo. Jamaa anaumwa anapata taabu.
Je, hivyo alivyofanyiwa ni sawa?