Jakaya Kikwete Foundation

Barakaeli174

Senior Member
Aug 2, 2015
171
142
Wana Jf

Hii taasisi ya Jakaya Kikwete Foundation imekumbatia mambo mengi sana ambayo hata wataalam wa kuendesha mashirika wataweza kuwa na maswali mengi, mfano shirika kama sio donor au funding NGO itakuwa na muda mgumu sana kama ku implement projects wenyewe lazima wawe na focus moja tu ili wapate matokeo mazuri kwa wakati na kwa kila intervention kila wanapotoa msaada maana yangu ni kwamba foundation ina hudumia maswala ya tabia ya nchi, kufundisha vijana na kuwasaidia, inashughulikia afya ya kina mama, elimu... Duh nafikiri waliompa wazo wa hili hawakumshauri vizuri, walau angeanza na sector moja tu na kuwekeza sana ili kutoa majibu mazuri ya msaada kama ilivyo Mkapa foundation, ila tusubiri wafanye kazi evaluation itakuja na si ajabu utakuta wizi mwingi unafanywa na watendaji, implementation dhaifu, kutokuwa na majibu sahihi ya msaada uliotolewa, poor performance ya sector kwenda so deep kwenye ngazi ya Mkoa, wilaya, kijiji na kaya. Kama kuna haja ya kurekebisha bado mapema ni vizuri awe kwanza na one area of focus akifanikiwa na kuwa na majibu mazuri kwa kila ngazi ndio aongeze sector of intervention na kabla ya nyingine anahakikisha amewafikia na kupata good result baada ya intervention hivyo hivyo. Ila kama kuna mbinu na mkakati ambao utafanyika na wamejipanga kwenye Directing, supervision, controlling ambayo ni ya muda mchache kama wiki 2 au mwezi sehem zote na Evaluation ambayo ni periodical basi lazima atawekeza nguvu kubwa sana ili credibility ya foundation isichafuliwe na watumishi.

Haya ni mawazo yangu na ushauri binafsi tafadhali nisinukuliwe vibaya au kueleweka vibaya ni maoni tu.
 
Jua kuna aina mbili za NGo duniani....

1) Multiple Goals Organization

2) Single Goal Organization


Mkapa foundation au Jhpiego ni aina ya pili ya foundation niliyoweka hapo juu...

Kikwete foundation ni aina ya kwanza, inaruhusiwa
 
Jua kuna aina mbili za NGo duniani....

1) Multiple Goals Organization

2) Single Goal Organization


Mkapa foundation au Jhpiego ni aina ya pili ya foundation niliyoweka hapo juu...

Kikwete foundation ni aina ya kwanza, inaruhusiwa
Naelewa multiple goals NGO lakini nikuulize ni funding au implementer wa activity zote ingia more deep nikuelewe maana tatizo lipo kwenye utekelezaji wa miradi kwenye ngazi zote karibu nakusikiliza
 
Naelewa multiple goals NGO lakini nikuulize ni funding au implementer wa activity zote ingia more deep nikuelewe maana tatizo lipo kwenye utekelezaji wa miradi kwenye ngazi zote karibu nakusikiliza
Sijaelewa swali lako vizuri nakukaribisha kwa Mara ya pili kunielewesha
 
We mleta uzi achaga upoyoyo,hiyo foundation ikiwa tayari utasaidia sana Jamii acheni wivu
 
Mkuu. Hizo programmes ni rahisi sana kuimplement kama unawatendaji wazuri wenye uzoefu na maeneo ya kuimplement mradi
Mabadiliko ya tabia nchi
Afya ya kina mama
Elimu kwa vijana (Ujasiriamli). Sioni tatizo hapo labda wawe warohoo tu. Wapige pesa za donors
 
Mimi naona kama itahatarisha ufadhili wa NGO nyingine hapa Tanzania, kutokana na influence ya watu waliomo ndani ya hii taasisi ya JK .

fedha ambazo hizi NGO walikuwa wanapata kutoka kwa wafadhili wanaweza wasizipate kama mwanzo na badala yake hii kikwete foundation ikawa inawadaka hawa wafadhili juu kwa juu hasa ukizingatia wamejikita kwenye maeneo mengi, afya. Elimu utawala bora n.k.
 
We mleta uzi achaga upoyoyo,hiyo foundation ikiwa tayari utasaidia sana Jamii acheni wivu
Sio kosa lako unaongea usilolijua nina wasiwasi na ww ni bashite, sijakataa kuwepo kwa foundation nielewe vizuri nimeeleza kwa undani kuhusu utekelezaji wa miradi yote kwa pamoja au kwa mkupuo sawa suipoelewa hapa basi utaendelea kuwa bashite maana usingechangia umeonesha uwezo wako wa uelewa katika swala hili.
 
Kuna NGO zimeanza ku phaseout wafadhili wamekataa kuendelea kufafhili wanadai wanaenda nchi zinginw zinazohitaji sasa sijui ni nini kinasababisha ila nina wasiwasi na governance system kuna sehem waona haiendi sawa ukizingatia masharti ya misaada ni lazia serikali ya implementer kuyoweka vikwazo sana mfano serikali kufiatilia kwa undani pesa zao na kuhitaji ripoti ya pesa ambazo hawakutoa wao hawataki wanasema wakupe ripoti ya matumizi ww kama nani
 
Kwani ikishindwa nini unakuumia, ushaambiwa ni NGO hakuna kodi yako pia kama unadhani Rais mstaafu ni mhalifu ni roho mbaya yako na upumbavu wa hali ya juu, nenda kwenye vyombo vyenye mamalaka waambie wachunguze. Majitu mengine mna roho mbaya mwenzenu anapeta tu Barakaeli174
 
Sio kosa lako unaongea usilolijua nina wasiwasi na ww ni bashite, sijakataa kuwepo kwa foundation nielewe vizuri nimeeleza kwa undani kuhusu utekelezaji wa miradi yote kwa pamoja au kwa mkupuo sawa suipoelewa hapa basi utaendelea kuwa bashite maana usingechangia umeonesha uwezo wako wa uelewa katika swala hili.
Hivi wewe una akili zaidi kuliko huyo JK na jopo lake, kiasi kwamba hawajui kitu gani wanafanya.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom