Ni matapeli, wanaibia watu kwa hilo jina. Baadhi washatiwa mikononi mwa polisi na wengine bado wanaendelea kusakwa. kwa hiyo mkuu wewe utakuwa msaada wa kutosha kusaidia kupatikana hao wengine kwa kuwaripoti kituo chochote cha polisi kilicho karibu nawe.