Kwa muda wote wengi wao watangaza nia wa CCM wamekuwa ndani ya mfumo uliokumbatia wizi,ubadhirifu na ufisadi, wao wakiwa wanufaika na wengine washiriki wakuu wa madhambi haya,ni wetu waliokosa aibu na uoga tu wanaoweza kujitangaza mbele ya waungwana kuwa wao ni safi