Baada ya Shy kuukwaa ubunge wa EA kawa kijana na kaacha ukicheche na ndio maana Checkbob mfuto Jaffary kamurudia,jamani si mnajua kulala kwenye mahoteli ya nyota 5 katika ziara za majiji mbalimbali ya EA ndio imekuwa smaku iliyomvuta Checkbob mfuto kwa mwanamke mzee na kicheche .ngoja niangalie FB kama yale maneno baado yapo,kumbe kulia kote kule ilikuwa ni kilio cha sizitaki mbichi hizi,pia tunaomba Clouds Fm wrudie kutangaza mahojiano aliyofanya Jaffaray,na aombe msamaha kwa umma,na akubali kuwa sasa KALA MATAPISHI YAKE