maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,312
- 5,653
ni kweli mkuu jiweke kwenye nafasi ya mwajiri ndo utaona inavyokerraKwa upande wangu nachukia sana watu hasa vijana ambao wanakuwa kwenye nafasi nzuri kazini halafu wanaondoka kwa 24hrs notice... hii profesionally inaonyesha kuwa bado hujakomaa.. hata kama Airtel walikuwa wanamuhitaji au wamepanda dau kubwa namna gani angewaambia wampe mwezi mmoja ila iweze kukabidhi ofisi.. yaani mimi naona bado dogo anautoto...
sio kila wakati uangalie maslahi kuna wakt mazingira ya kazi yanakuwa mabaya hata kama wanakulipa vizuri..hivyo sio sahihi kusema kila anayehama sehemu moja kwenda nyingine kafuata maslahi..jaribu kusoma ndani ya mistari sio nje..
Wakuu
Huyu Afisa uhusiano wa zameni Jackson Mbando nimeona Tangazo kwenye gazeti la leo la Mwananchi, vipi pale Tigo jamaa alifukuzwa kwa kashfa gani na sasa kajiribu Airtel????
hapana haijaiba, kutokana na nafasi alokua nayo tigo ilimfanya afahamike sana, sasa ni hatua ya kawaida sana kwa tigo kuwaarifu watu kuwa si mfanyakazi tena wa tigo
It is from people where you can learn how to survive in this world than from ideas..."Great minds discuss ideas. Average minds discuss events. Small minds discuss people" , mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe...
Kwa upande wangu nachukia sana watu hasa vijana ambao wanakuwa kwenye nafasi nzuri kazini halafu wanaondoka kwa 24hrs notice... hii profesionally inaonyesha kuwa bado hujakomaa.. hata kama Airtel walikuwa wanamuhitaji au wamepanda dau kubwa namna gani angewaambia wampe mwezi mmoja ila iweze kukabidhi ofisi.. yaani mimi naona bado dogo anautoto...
<br />Nosense. Who is Mbando by the way?????? stop this shit!
Ame hamia Airtel, we bado unasubiri nini? hamia Airtel mkuuu..... Pia acha kuwa na dhana potofu kuwa mtu akiacha kazi ofisi flani na kwenda nyingine kaiba au kafukuzwa kazi sivyo kabisa mkuu..... Maisha haya tuna angalia maslahi zaidi!