Hakuna kitu kinaitwa iWatch bado, hiyo picha ni ya iPod Nano Ya mwaka 2010, iWatch inazungumzwa kuwa inategemewa kutoka mwaka huu lakini Apple hawakutangaza rasmi.
Hakuna kitu kinaitwa iWatch bado, hiyo picha ni ya iPod Nano Ya mwaka 2010, iWatch inazungumzwa kuwa inategemewa kutoka mwaka huu lakini Apple hawakutangaza rasmi.
Hizi picha zote ni feki, hakuna kitu kinaitwa iWatch, nenda kwenye official Apple webiste ninakuhakikishia kuwa hutakuta hii. Hata ukiangalia hizo saa zote zinatofautiana, sasa hujiulizi hiyo iWatch ni saa ni kinyonga? Hata kinyonga anabadilika rangi lakini habadiliki umbile!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.