Kuna dhana imejengeka kwa baadhi ya wana chama katika chama chetu cha chadema kuwa viongozi wamekijenga chama zaidi kuliko ya wanachama hii si kweli, chama chetu kimejengwa na kila mwanachama kwa kadili alivyojaliwa.
Nikili kuwa Mimi ni mmoja ya watu walikijenga chama kwa nguvu zangu zote hadi kufikia kufukuzwa kazi kwa kuwa tu nipo upande wa pili. Misukosuko ilikuwa mingi, uhamisho kila siku, kuviziana kila siku hadi nikafukuzwa kazi. Yote haya nimeafanya si kwa kutegemea malipo Bali Imani yangu juu ya chama hiki nikiamini kuwa kitapigania haki na Uhuru wa wananchi.
Haya yaliotokea kwa akina Halima mdee ni kutuvunja moyo sisi wajenga chama, hivyo ili kuendelea kutupa nguvu sisi wanchama wa kawaida, tunaomba wote waliokula kiapo wafukuzwe Mara moja ndani ya chama chetu. Iwapo itakuwa kinyume, basi nitajiondoa chadema na kujiunga na chama cha ACT wazalendo.
Nikili kuwa Mimi ni mmoja ya watu walikijenga chama kwa nguvu zangu zote hadi kufikia kufukuzwa kazi kwa kuwa tu nipo upande wa pili. Misukosuko ilikuwa mingi, uhamisho kila siku, kuviziana kila siku hadi nikafukuzwa kazi. Yote haya nimeafanya si kwa kutegemea malipo Bali Imani yangu juu ya chama hiki nikiamini kuwa kitapigania haki na Uhuru wa wananchi.
Haya yaliotokea kwa akina Halima mdee ni kutuvunja moyo sisi wajenga chama, hivyo ili kuendelea kutupa nguvu sisi wanchama wa kawaida, tunaomba wote waliokula kiapo wafukuzwe Mara moja ndani ya chama chetu. Iwapo itakuwa kinyume, basi nitajiondoa chadema na kujiunga na chama cha ACT wazalendo.