ITV na mbinu za kuisaidia CCM

ITV na mbinu za kuisaidia CCM

The Don

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2011
Posts
3,499
Reaction score
1,172
ikiwa ni muda sasa tangu kampeni zianze,chama cha mapinduzi(C.C.M) kimepata wakati mgumu sana baada ya kukutana na zomea zomea na sehemu nyingine kukutana na watu wachache tofauti na ilivotarajiwa mbali na kusomba watu,mwandishi Emmanuel Buhohela (ITV) amekua akitumika kuficha aibu hiyo kwa kuunga picha za mikutano,kuchomeka picha za mikutano iliyopita mfano picha ya tabora inatumika sana,pia kuficha zomea zomea anayokutana nayo magufuli mfano jana mbarali mbeya hiyo yote kwa maslahi binafsi na chama..
my take: siasa zisitutoe ktk maadili ya fani zetu,pia uongozi wa ITV lifanyieni kazi hili tatizo
 
ikiwa ni muda sasa tangu kampeni zianze,chama cha mapinduzi(C.C.M) kimepata wakati mgumu sana baada ya kukutana na zomea zomea na sehemu nyingine kukutana na watu wachache tofauti na ilivotarajiwa mbali na kusomba watu,mwandishi Emmanuel Buhohela (ITV) amekua akitumika kuficha aibu hiyo kwa kuunga picha za mikutano,kuchomeka picha za mikutano iliyopita mfano picha ya tabora inatumika sana,pia kuficha zomea zomea anayokutana nayo magufuli mfano jana mbarali mbeya hiyo yote kwa maslahi binafsi na chama..my take: siasa zisitutoe ktk maadili ya fani zetu,pia uongozi wa ITV lifanyieni kazi hili tatizo
Msangu utamjua tu.
 
hata picha mnato wanazopiga kwa mgombea wa UKAWA
HUWA zinagandishwa upande 1...haionyeshwi kote
 
Back
Top Bottom