Wachambuzi wa mambo ya mavazi wanasema kuwa, vazi la TAIFA linapaswa kuja outomatic na sio suala ya watu kukaa kujifungia chumbani na kula posho za bure kubuni vazi. Haya magwanda ni kazi ya Mbowe, mtu mmoja kaleta kitu ambacho kimekuwa ni very influential kwa nchi nzima.