ITV na Gwanda la CHADEMA.

Alfred Daud Pigangoma

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2009
Posts
1,833
Reaction score
972
Wanajamvi.

Muda huu naangalia taarifa ya habari ya saa 2 usiku. Cha kufurahisha ni kuwa mtangazaji ametinga gwanda huku akitoa kipaumbele kwa habari za CHADEMA. M4C Pamoja Daima imeoneshwa kwa upande wa Msoma Dr. Slaa na upande wa Iringa Kamanda Mbowe na Mh. Mdee.

My take: hadi kufikia 2015 vazi la Taifa litakuwa vazi la khaki.
 
Hata CCM wameanza kuiga taratibu,
 
hata nyerere alilivaa
nape nimeona kalivaa ila la kijani
Nape yuko CCM kimaslahi lakini akili iko chadema au CCJ
baadae litakwa vazi la ukombozi
 
Hiyo ni ishara ya ushindi wa chadema na kila mtu anavyotamani na kuyapenda magwanda ya chadema
 
Wachambuzi wa mambo ya mavazi wanasema kuwa, vazi la TAIFA linapaswa kuja outomatic na sio suala ya watu kukaa kujifungia chumbani na kula posho za bure kubuni vazi. Haya magwanda ni kazi ya Mbowe, mtu mmoja kaleta kitu ambacho kimekuwa ni very influential kwa nchi nzima.
 

umeongapa mtangazaji hakuvaa khaki pamoja na kuwa naikubali chadema asimia zote.
 
umeongapa mtangazaji hakuvaa khaki pamoja na kuwa naikubali chadema asimia zote.

Kwann kamanda mwenzio katupakulia habari ya uongo, kwa maslahi ya nani, au makamanda wa? kula na kuvimbiwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…