jtwentytwo
Senior Member
- Apr 7, 2015
- 194
- 26
Taarifa ya habari ni yetu sisi watazamaji acheni dharau. Hata mkikata habari za mikutano kwa kuminya taarifa za mikutano yake tusione haisaidii chochote zaidi mnampaisha zaidi.
Huyu mtangazaji aliyeko studio aachi chuki zake yeye ni mtangazaji tu. Mikutano ya ccm imerushwa miwili ni ikapewa full coverage katika habari moja, wa UKAWA mmoja tu na haujazidi hata dakika.
ITV jirekebishe msijishushe hadhi kijin.ga jing.a kwa upuu.zi wa mtangazaji asiyetumia weredi.
JITAFAKARINI.
ITV washasomaaa upepoo mapemaa mnoo magufuli ndie rais wa Tanzania ivoo chadema mahaba endeleeni kutokwa povu ad keshooo k nyieeeee