ITV mnaipendelea CHADEMA/UKAWA

kawaulize na TBC kwanini wanapendelea CCM wakati sio TV ya chama ile
bora hata ITV wanaonyesha habari za CCM ila TBC hawajawahi kunyesha habari yeyote ya UKAWA

Tangu ukawa iundwe TBC hawajawahi kutangaza habari chanya
 

Huna ulicho kuandika na hujamuelewa mleta uzi
 
Makapi yako mengi tu kama yalivyoorodheshwa hapa chini:
Nchemba
Wasira
Pinda
Bilal
Mwakyembe
Makongoro
Membe
Mwandosya
Ramadhani
Malecela
Mahiga
Muhongo
Ngeleja
Nyalandu


.......


Tafakari...

Makapi bado yapo ndani ya chama na bado ni wanachama halali
 
Ccm tunataka serikali ya mseto ilk kuwajengea uwezo UKAWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…