ITV mmetisha kwa kibonzo cha leo

ITV mmetisha kwa kibonzo cha leo

A.B.kidiku

Member
Joined
May 30, 2015
Posts
28
Reaction score
4
Ki ukwel hii ndo itakayo7bisha niungane na watz wenzangu kupinga sheria inayokandamiza uhuru wa vyombo vya habar nchini.

Maana yake kibonzo cha leo ITV kilichokua kinaonyesha wagombea wawili wa CCM wakiwa kwenye chombo kimoja na bado wanapigana vijembe huku mgombea wa UKAWA akiwa ameketi pembeni peke yake akiwashangaa.

Huku akiwa kashika daftar na kalamu akiorodhesha madhaif yao.

Hiv ITV wakiungana na TBC taarfa ya habar ya saa mbili raha kama hiz tutazipata?

Nawasilisha.
 
wadau kwa alye tazama taarfa ya habar ya saa mbil hebu tujiulize itv walimaanisha nini kuchora wagombea wawil wa ccm wakiwa kwenye chombo kimoja na bado wanaonyesheana vdole ishara ya kutukanana halaf hapohapo akawepo mgombea wa ukawa akiwa ameketi vzuri kwenye kiti na ameshika kalamu na daftar kias kwamba alkua anaandka wanayotukanana?
 
wadau kwa alye tazama taarfa ya habar ya saa mbil hebu tujiulize itv walimaanisha nini kuchora wagombea wawil wa ccm wakiwa kwenye chombo kimoja na bado wanaonyesheana vdole ishara ya kutukanana halaf hapohapo akawepo mgombea wa ukawa akiwa ameketi vzuri kwenye kiti na ameshika kalamu na daftar kias kwamba alkua anaandka wanayotukanana?
Wanaonyesha kutia nia kwa wagombea wa CCM na kutukanana wao kwa wao, ...unakumbuka waliitana vibaka nk...

 
kuna watu saa hizi walitakiwa wawe gerezani leo wanagombea urais ajabu__ lipumba
It is true, kama nchi yetu ingekuwa inaendeshwa na utawala bora wa kikwelikweli na kuendeshwa kwa rule of law ya uhalisia, na siyo ya kuwafanya wengine kuwa above law, almost 90% ya watia nia ya Urais wa Sisiem walikuwa supposed kuwa Segerea badala ya kuwa uraiani wakitamba na kufanya kufuru za kuspent mabilioni ya shilingi kwa ajili ya safari zao za 'matumaini' kama alivyobainisha Profesa Lipumba.

Naunga mkono hoja kwa asilimia 100.
 
"Not only justice to be done but also must be seen to be done"
Hii kauli ingefanya kazi Tz kuna watu tungewasahau kweli
 
wadau kwa alye tazama taarfa ya habar ya saa mbil hebu tujiulize itv walimaanisha nini kuchora wagombea wawil wa ccm wakiwa kwenye chombo kimoja na bado wanaonyesheana vdole ishara ya kutukanana halaf hapohapo akawepo mgombea wa ukawa akiwa ameketi vzuri kwenye kiti na ameshika kalamu na daftar kias kwamba alkua anaandka wanayotukanana?

Ilimaanisha ccm ni chama kimoja lakini wanazozana wao kwa wao..wakati huo ukawa badala wafanye kazi wao wanasikiliza na kuyaandika wanayoyaongea ccm
 
Ilimaanisha ccm ni chama kimoja lakini wanazozana wao kwa wao..wakati huo ukawa badala wafanye kazi wao wanasikiliza na kuyaandika wanayoyaongea ccm

Utafanyia kazi kile ulicho sikiliza ndio maana una mdomo mmoja na masikio mawili. SIKIA ZAIDI ONGEA KIDOGO
 
Kazi kweli kweli!,mwaka huu tutayaona na kuyasikia mengi,sisi yetu ni macho.
 
Back
Top Bottom