View attachment 349729
Makocha ambao watangaliwa na kufuatiliwa kwa ukaribu sana msimu ujao katika EPL ni hawa wawili....naamini msimu ujao utakuwa msimu bora kutokea katika EPL
Hapa Klopp, kule Guardiola, pembeni Maurinho, juu Wenger, kati Renieri, upande wa kulia Pottechino, juu kidogo Koeman, alafu kwa huku Conte!! Aisee, ni shida!!
View attachment 349729
Makocha ambao watangaliwa na kufuatiliwa kwa ukaribu sana msimu ujao katika EPL ni hawa wawili....naamini msimu ujao utakuwa msimu bora kutokea katika EPL
Muda wa wenger kufanya maajabu, anawasubili 2 waje then awachangamkie, akisajili 2 mapengo yake basi hawataamini kitakachowatokea maana kwa ss kwenye hilo group la guadiora, mourhino, klop, wenger anachukuliwa km underdog
View attachment 349729
Makocha ambao watangaliwa na kufuatiliwa kwa ukaribu sana msimu ujao katika EPL ni hawa wawili....naamini msimu ujao utakuwa msimu bora kutokea katika EPL