Ukifulia noma Sana, wakati wenzenu saizi wako busy kufanya finishing za kubeba ubingwa nyie mnajifariji na wachezaji wa timu zingine...
Katika hao sioni atakayekubali kuota moto Jumanne na Jumatano usiku wakati wanaume wanaumana kwenye Champions League ambayo msimu ujao United watabaki kusikiliza kale ka wimbo kwenye simu Tu.
Ukifulia noma Sana, wakati wenzenu saizi wako busy kufanya finishing za kubeba ubingwa nyie mnajifariji na wachezaji wa timu zingine...
Katika hao sioni atakayekubali kuota moto Jumanne na Jumatano usiku wakati wanaume wanaumana kwenye Champions League ambayo msimu ujao United watabaki kusikiliza kale ka wimbo kwenye simu Tu.
Ukifulia noma Sana, wakati wenzenu saizi wako busy kufanya finishing za kubeba ubingwa nyie mnajifariji na wachezaji wa timu zingine...
Katika hao sioni atakayekubali kuota moto Jumanne na Jumatano usiku wakati wanaume wanaumana kwenye Champions League ambayo msimu ujao United watabaki kusikiliza kale ka wimbo kwenye simu Tu.
Jifunze SPURS inachkua muda gani wachezaji wote hao kuja kuperfom na kujuana, Prof. Wenger anasema Mwisho ni wachezaji watatu tu, ndipo utakapo weza kustabilize team lakini wachzaji zaidi ya hapo kwenye 1st Eleven ni majanga.