It takes a brave person to be 1

mamso

Senior Member
Feb 9, 2017
174
194
Mimi nasema ni ushamba wengi wanadharau single mothers kama mtu asiyekuwa na thamani wakati asilimia kubwa huku wamelelewa na hao mnaowadharau au dada zenu nao wamezalishwa hapo kwenu, wengine mabosi wenu ni single mom wanawalipa mnapata ka ujeuri cha pesa, gheto mnazokaa ni nyumba ya single mom, ukija huku unaponda man something ain't ryt with u. Obama was raised by a single mum. Etc
 
Tatizo sio kuwa single mom, tatizo ni pale unapoanza kutafuta mume wako peke yako ili ufunge naye ndoa.

Aisee, Ukiona Una mtoto tafuta tu hata mume wa mtu uendelee kujiegesha angalau hata watoto wawe na mwanaume anayeitwa baba.
Hizi hasira ni za kukataliwa lazima.
Hatuwezi kukataa, Dada zetu wamezalishwa home na wanaendelea kuzaa Ila hawana fantasy za
'I need a man of my own!!,'
Ndio Maana mama zetu walikuwa wanaamua tu kuwa wake wenza.
Akishaona kaingizwa mjini anajibanza huko huko. Anakuwa mpole tu.

Sasa nyie unatembea na mume wa mtu anakupa mimba aafu unaanza kuota mume wako peke yako!!! Tena na mimba umemtegeshea Huyo mwanaume.

Mnatakiwa kubadili namna ya kutega mingo zenu.
 
Tatizo sio kuwa single mom, tatizo ni pale unapoanza kutafuta mume wako peke yako ili ufunge naye ndoa.

Aisee, Ukiona Una mtoto tafuta tu hata mume wa mtu uendelee kujiegesha angalau hata watoto wawe na mwanaume anayeitwa baba.
Hizi hasira ni za kukataliwa lazima.
Hatuwezi kukataa, Dada zetu wamezalishwa home na wanaendelea kuzaa Ila hawana fantasy za
'I need a man of my own!!,'
Ndio Maana mama zetu walikuwa wanaamua tu kuwa wake wenza.
Akishaona kaingizwa mjini anajibanza huko huko. Anakuwa mpole tu.

Sasa nyie unatembea na mume wa mtu anakupa mimba aafu unaanza kuota mume wako peke yako!!! Tena na mimba umemtegeshea Huyo mwanaume.

Mnatakiwa kubadili namna ya kutega mingo zenu.
God does wonders wapo wanawake wamezalishwa watoto 6 baba tofauti ila anapata wa kwake mwenyewe.
 
Maskini mkeo ana kazi. Hapa unamvuta taratibu mamso ili akuzalie mtoto\watoto kama ulivyotoa bandiko humu jukwaani
Tatizo sio kuwa single mom, tatizo ni pale unapoanza kutafuta mume wako peke yako ili ufunge naye ndoa.

Aisee, Ukiona Una mtoto tafuta tu hata mume wa mtu uendelee kujiegesha angalau hata watoto wawe na mwanaume anayeitwa baba.
Hizi hasira ni za kukataliwa lazima.
Hatuwezi kukataa, Dada zetu wamezalishwa home na wanaendelea kuzaa Ila hawana fantasy za
'I need a man of my own!!,'
Ndio Maana mama zetu walikuwa wanaamua tu kuwa wake wenza.
Akishaona kaingizwa mjini anajibanza huko huko. Anakuwa mpole tu.

Sasa nyie unatembea na mume wa mtu anakupa mimba aafu unaanza kuota mume wako peke yako!!! Tena na mimba umemtegeshea Huyo mwanaume.

Mnatakiwa kubadili namna ya kutega mingo zenu.
 
Mimi nasema ni ushamba wengi wanadharau single mothers kama mtu asiyekuwa na thamani wkt asilimia kubwa huku wamelelewa na hao mnaowadharau au dada zenu nao wamezalishwa hapo kwenu, wengine mabosi wenu ni single mom wanawalipa mnapata ka ujeuri cha pesa, gheto mnazokaa ni nyumba ya single mom, ukija huku unaponda man something ain't ryt with u. Obama was raised by a single mum. Etc
single mum awe kuanzia 30s ndo atleast,hawa single mum wadogo wadogo wanazingua sana.
 
"We could never learn to be brave and patient, if there were only joy in the world"
 
Back
Top Bottom