Mfatiliaji
Senior Member
- Mar 17, 2011
- 118
- 63
Jf ni kiboko.thanx wadau,nimelipata darasa vizuri.
Mimi nina CCIE...Mkuu hapa haimaanishi mtaala wa CISCO/HPQ or anything else, MachoMakavu anamaanisha Networking as a subject among other subjects,na baadhi ya college mnaingia Net-Laboraory kabisa. CISCO/HPQ & nyenginezo ni kampuni ambazo zina devices(e.g. Routers & Switches) zake zinazodeal na mambo ya Networking,hizo devices zao zina-operate kitaalamu na ndo maana wanatoa mafunzo ya namna ya kuzi-configure, ku-operate,ku-troubleshoot etc. Mafunzo hayo yana levels na unapofuzu level husika then unakua certified(e.g. CCNA, CCNP, CCIE). Sasa unapokuwa umesoma na kujua "What is Network/Networking?",fundamentals & all those things,then inakuwa rahisi Kujifunza hizo course za CISCO etc.
Na ndo maana inashauriwa kuwa na Diploma/Adv.Diplo/Bsc/B Eng in Comp/IT ili kurahisisha usomaji wa course hizo. Hapa experience haina deal kivile,ila experience is recommended between the levels of certification,i.e Una CCNA kwa mfano,fanya kazi za level hiyo kwa mda b4 moving on to CCNP. Likewise for the CCNP, CCIE etc.
Mimi nina CCIE...
Mkuu hapa haimaanishi mtaala wa CISCO/HPQ or anything else, MachoMakavu anamaanisha Networking as a subject among other subjects,na baadhi ya college mnaingia Net-Laboraory kabisa. CISCO/HPQ & nyenginezo ni kampuni ambazo zina devices(e.g. Routers & Switches) zake zinazodeal na mambo ya Networking,hizo devices zao zina-operate kitaalamu na ndo maana wanatoa mafunzo ya namna ya kuzi-configure, ku-operate,ku-troubleshoot etc. Mafunzo hayo yana levels na unapofuzu level husika then unakua certified(e.g. CCNA, CCNP, CCIE). Sasa unapokuwa umesoma na kujua "What is Network/Networking?",fundamentals & all those things,then inakuwa rahisi Kujifunza hizo course za CISCO etc.
Na ndo maana inashauriwa kuwa na Diploma/Adv.Diplo/Bsc/B Eng in Comp/IT ili kurahisisha usomaji wa course hizo. Hapa experience haina deal kivile,ila experience is recommended between the levels of certification,i.e Una CCNA kwa mfano,fanya kazi za level hiyo kwa mda b4 moving on to CCNP. Likewise for the CCNP, CCIE etc.