Mm ni m2 ambae nimesoma computer maintanance lakin ni m2ndu sana wa comp na nakuwa najisomea sana ktk internet so naitaji kujuwa kutengeneza program ni2mie program gan co kuna program nai2mia inaitwa PE EXPLOR lakin niyakuedit prgrm 2 na cjuwi kui2mia vyema so ningeomba na hi nifahamishwe ?