nimefanya utafiti na nimebaini kuwa ktk majimbo ambayo hawataki kusikia chama cha upinzani ni jimbo la Kibamba, inaonekana Mnyika ndiye aliharibu ktk kipindi chake cha miaka 10, hakuna alicho fanya. sasa safari hii ccm watateleza tuWaliobomelewaa nyumba zako aliwahi kuwatetea....huko hi chadema aacheche kuhangaika
maslahi ya wengi siku zote lazima yawe mbele/kwanza. leo hii wanao nufaika ni wengi zaidi kuliko wachache., sisi sote tunatumia barabara na hakuna foleni kila mmoja anawahi shughuli zake za kibiashara na kuinua uchumi.Waliobomelewaa nyumba zako aliwahi kuwatetea....huko hi chadema aacheche kuhangaika
Urais tunakwenda na Mh lissu, ubunge mgawe anatutosha, anakubalika na amefanya mengi hzo siasa majitka zako peleka lumumba.zimebaki siku tano tu! wiki ijayo siku ya J.tano trh. 28/10/2020 asubuhi namapema tujitokeza tukachague Rais, Mbunge na Diwani.
Kaa kimya hujui kitu mbumbumbu wewe.Kibamba IPI inamhitaji acha upuuzi wewe
Umebarikiwa bichwa kubwa empty lisilo ata na chembe ya akili. Tabula rasa.Kibamba IPI inamhitaji acha upuuzi wewe
Magufuli kasema hataki kuchanganyiwa betirii na "gunzi" wewe mchague mtevu ili ujihakikishie maendeleo ya jimbo lako vinginevyo huyo unaye mtaji hatambuliki kwa Magufuli.Urais tunakwenda na Mh lissu, ubunge mgawe anatutosha, anakubalika na amefanya mengi hzo siasa majitka zako peleka lumumba.
Kama jinsi ambavyo hatuhitaji misaada ya masharti toka kwa mnaowaita mabeberu, vivyo hvyo na sisi hatuhitaji maendeleo ya masharti.kwa muda wa miaka 10 John Mnyika wa Chadema alikuwa mbunge wa Jimbo la Kibamba....hakuna alicho fanya zaidi ya kujilimbikizia utajiri na kisha akakimbia.....leo tena mnataka kurubuniwa na huyooo.....mtakuwa watu wa ajaabu kweli...
hapana jamani....Kura ni siri ..nenda kampigie Mtenvu
Nikiwa kama mlipa kodi halali ktk nchi yangu, nina haki pia ya kupata maendeleo kupitia ile kodi yangu uliyoikusanya.kwa muda wa miaka 10 John Mnyika wa Chadema alikuwa mbunge wa Jimbo la Kibamba....hakuna alicho fanya zaidi ya kujilimbikizia utajiri na kisha akakimbia.....leo tena mnataka kurubuniwa na huyooo.....mtakuwa watu wa ajaabu kweli...
hapana jamani....Kura ni siri ..nenda kampigie Mtenvu
nazi haiwezi shindana na jiwe......Nikiwa kama mlipa kodi halali ktk nchi yangu, nina haki pia ya kupata maendeleo kupitia ile kodi yangu uliyoikusanya.
Mgombea Ubunge katika Jimbo la Kibamba kupitia tiketi ya chama cha CCM Ndg. Issa Mtemvu kwa uchunguzi nilio ufanya ni kwamba wananchi wa jimbo la Kibamba wanakuhitaji sana ili uweze kutatua changamoto zao na endapo utachaguliwa hakikisha unatekeleza au unatatua mambo yafuatayo;
1. Barabara za mitaani ni mbovu sana haswa katika maeneo ya Kiluvya Gogoni, Hondogo n.k. Tafadhali hakikisha mradi wa DMDP unahamia ktk maeneo haya. Wananchi wanapata shida sana wakati wa mvua.
2. Tatizo la umeme kuwa na nguvu ndogo kutokana na uchache wa transfoma, hivyo kupelekea transfoma moja kuelemewa, katika maeneo ya Kiluvya Hondogo,
3. Zahanati/hospitali ya kata/wilaya.
4. Fufua ulinzi shirikishi katika maeneo hayo ili kuimarisha usalama.
5. Hakikisha mradi wa stendi ya mabasi unawanufaisha wakazi wa maeneo hayo na Dar es Salaam kwa ujumla.
6. Kibamba ni eneo la kimkakati kulingana na jografia yake ilivyo kwani ndio lango la jiji hivyo itangaze tupate wawekezaji katika meneo haya ili wananchi wapate maendeleo.
Wananchi wa jimbo la Kibamba walicheleweshwa sana katika maendeleo yao, safari hii hawatofanya makosa.
kabisaa, Mnyika amepigaaa weeee sasaHili jimbo chadema na mnyika walilifanya kama demu wa mgomani