Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 12,892
- 27,209
Unasemaje😤India na Russia ni vibarua, manamba, foremen wa wataalamu wa mitandao.
Unasemaje😤India na Russia ni vibarua, manamba, foremen wa wataalamu wa mitandao.
Hicho kiti nimemwisha kitoa hakipo atakalia jiwe mkuu
Kaaa chini halafu tafakari upyaNdio na hivi karibuni aliwapa misaada
hebu tutajie technolojia inayotoka Israel, mi sijawahi kuona bidhaa yoyote kutoka Israel.India na Russia ni vibarua, manamba, foremen wa wataalamu wa mitandao.
Andaa popconUnachekesha wewe 🤣🤣🤣wataalamu wapo india na russia huko walio bakia wote ni matapeli tu
Sawa mzee wa karikooKaaa chini halafu tafakari upya
Wayahudi ni think tank kubwa sana kwa USA katika technology, wanapoamkia hao Warusi na India siku nyingi sana Israel alishalalamoUnachekesha wewe wataalamu wapo india na russia huko walio bakia wote ni matapeli tu
Elon sio threat ,bali israel hawataki kuona maadui zao wanawezeshwa kwa chochote kile.Kwenye mambo ya Intelligence watu uwa wanaangalia threat unataka kusema Elon ni threat kwa israel? Unafikiri Wanamgambo wa Hamas watatutimia iyo INTERNET kuwasiliana? Iyo ni special kwa raia na makundi yanayotoa misaada ya kibinadamu..
Ndio hivo mkuuSawa mzee wa karikoo
Mzayuni hajawahi kuwa na akili timamuKama heading inavyojieleza Israel imeamua kukata mahusino yao na Elon musk..baada ya kuruhusu Internet ya Star link kutumika Gaza kwa mashirika ya misaada ya kibinadamu... View attachment 2796393
Sasa walichotaka ni kipi?.Walitaka wapige tu na watu wasisikie kelele za wanaokufa.Kama heading inavyojieleza Israel imeamua kukata mahusino yao na Elon musk..baada ya kuruhusu Internet ya Star link kutumika Gaza kwa mashirika ya misaada ya kibinadamu... View attachment 2796393
Israel ilimwomba msaada huyo Elon Musk au ni kiherehere chake mwenyewe cha kujipendekeza kwa Wababe wa kivita duniani "Israel"?Ndio na hivi karibuni aliwapa misaada
Elon hawezi kuwa mkubwa kuliko IsraelUnataka kusema elon mkubwa kuliko israel?
Wale vijana wa Hamas waliozima mitambo ya shirika la ujasusi nao vipi.Wataalam wa teknolojia nguli wapo Israel au wana asili ya israel.... watamkatia mbali
Acha ujinga mpumbavu wewe , hizi kampuni zote za Tesla hebu tafuta executive au wanasayansi wanaobuni hizo inventions wenye asili ya kiyahudi ni wangapi ?Wataalam wa teknolojia nguli wapo Israel au wana asili ya israel.... watamkatia mbali
Kwa ubabe upi walio nao hawa wafikii hata kidogo iran hao taifa teule la mchongoIsrael ilimwomba msaada huyo Elon Musk au ni kiherehere chake mwenyewe cha kujipendekeza kwa Wababe wa kivita duniani "Israel"?
Bongo hii ni nadra kuona bidhaa kutoka Switzerland, Israel au Canada. Hawatengenezi bidhaa ndogondogo nyingi, na hawatengenezi kwa ajili ya soko duni la pangu pakavu. Na hawana multinational corporations.hebu tutajie technolojia inayotoka Israel, mi sijawahi kuona bidhaa yoyote kutoka Israel.
Una kitu utafika mbaliElon hawezi kuwa mkubwa kuliko Israel
Yeye ni mfanyabiashara na hasipo zichanga karata zake vizuri hilo jambo litampa hasara.
Mwambie huyo mjinga ,Unachekesha wewe wataalamu wapo india na russia huko walio bakia wote ni matapeli tu