unaota, we unaona kisago kinachotolewa kwa ant israeli? Wote hao watabondwaHiyo vurugu itayozuka hapo middle east Wayahudi watarudi ukimbizini
Kwa Nasrallah walisema hivi na Kwa Ayatollah Khamenei tunasikia kelele zao na hakuna kitu kitatokea.Hiyo vurugu itayozuka hapo middle east Wayahudi watarudi ukimbizini
Hapana asee Israel isithubutu kufanya hilo kosa kwa huyu humble Gentlemen. Kwa hili sitamuunga mkono kabisa mteule. Endapo mteule atamdhuru erdowan nitawalaan.Now that Iran Supreme leader
and arch enemy of Israel is gone. Attention is said to be turning toward what is considered the remaining major adversary — Tayyip Erdoğan — and plans are allegedly being prepared to remove him. Stay tuned......Israel hawapoi, USA hawalali...
View attachment 3550521
Endelea kuota mbona silaha zenu mmekimbizia cyprus baada ya uturuki kukataa kuwapokea. Angalia kinachotokea huko Cyprus sasa hivi Usibwate tu hapa. Middle East haitakaa itulie tena swallow my wordsKwa Nasrallah walisema hivi na Kwa Ayatollah Khamenei tunasikia kelele zao na hakuna kitu kitatokea.
Israel atawatandika kila mmoja kwa wakati wake hapo Mashariki ya kati hadi wote wampigie magoti.
Mpango wa muda mrefu ni Istambul irudishwe kwa rightful owner ambaye ni Greece na Israel irudi kwenye mipaka yake kama ilivyobainishwa kwenye Bible. Stay tuned...
Sawa mkuu Muda Utaongeaunaota, we unaona kisago kinachotolewa kwa ant israeli? Wote hao watabondwa
Trump mwenyewe anamkubali sana ErdowanHapana asee Israel isithubutu kufanya hilo kosa kwa huyu humble Gentlemen. Kwa hili sitamuunga mkono kabisa mteule. Endapo mteule atamdhuru erdowan nitawalaan.
Vipi Jombis Mshia kiongozi wako kauliwaHapana asee Israel isithubutu kufanya hilo kosa kwa huyu humble Gentlemen. Kwa hili sitamuunga mkono kabisa mteule. Endapo mteule atamdhuru erdowan nitawalaan.
Kafanyaje huyo Mzee mpaka wapange kumtoa ?Now that Iran Supreme leader
and arch enemy of Israel is gone. Attention is said to be turning toward what is considered the remaining major adversary — Tayyip Erdoğan — and plans are allegedly being prepared to remove him. Stay tuned......Israel hawapoi, USA hawalali...
View attachment 3550521
Na ndiyo maana lazima apigwe kwa sababu ya unafiq wake.Endelea kuota mbona silaha zenu mmekimbizia cyprus baada ya uturuki kukataa kuwapokea. Angalia kinachotokea huko Cyprus sasa hivi Usibwate tu hapa. Middle East haitakaa itulie tena swallow my words
Makanisa yote waliyoyabadili kuwa MISIKITI kwa kuua wakristu yanarudiNow that Iran Supreme leader
and arch enemy of Israel is gone. Attention is said to be turning toward what is considered the remaining major adversary — Tayyip Erdoğan — and plans are allegedly being prepared to remove him. Stay tuned......Israel hawapoi, USA hawalali...
View attachment 3550521
Naam, kituo kifuatacho ni uturuki, hata kama si leo anyukwe tu, alijifanya kiherehere kutaka kuingia vitani na israel. Anyukwe tu huyo mkobazi wa ulaya ya kati