Israel and World Politics... Is this what will happen?

Topical

JF-Expert Member
Dec 3, 2010
5,173
935
Kwa wale wanaopenda kuishughulisha "akili" vizuri kwenye siasa za kimataifa...

Soon ..Israel itavunja uchumi wa amerika, kwa kutumia reserve bank of america ...

Uchumi wa merakani ukisa collapse itakuwa advantage kwa Israel..

Tujiandae kwa vita vitakatifu maana hiyo state inapenda dhulma kama nini..
 
Vita vya 1967 Mlifanya nini?? Mbona hamkufurukuta???sasa ndo unagiza vita bora ungeagiza Kahawa na Haluwa.
 
Kwa wale wanaopenda kuishughulisha "akili" vizuri kwenye siasa za kimataifa...

Soon ..Israel itavunja uchumi wa amerika, kwa kutumia reserve bank of america ...

Uchumi wa merakani ukisa collapse itakuwa advantage kwa Israel..

Tujiandae kwa vita vitakatifu maana hiyo state inapenda dhulma kama nini..

umetumia vyanzo gani vya habari?
 
Kwa wale wanaopenda kuishughulisha "akili" vizuri kwenye siasa za kimataifa...

Soon ..Israel itavunja uchumi wa amerika, kwa kutumia reserve bank of america ...

Uchumi wa merakani ukisa collapse itakuwa advantage kwa Israel..

Tujiandae kwa vita vitakatifu maana hiyo state inapenda dhulma kama nini..

Unaogopa nini? Mbona kila vita inapo tokea wana pewa bakora ni waarabu. Sasa kipi kipya unatemea, ni kupigwa bakora wale Waarabu mpaka waelewe kuwa kulilia ardhi ya watu ndio dhulma.
 
umetumia vyanzo gani vya habari?

Historic trends..

UK (the world then) alitengeneza Israel 1948..though league of nations

UK ilipo collapse uchumi wa dunia kuhamia US..US ikianza "kuelea Israel" kwa kutumia fedha za taifa lake..

Israel imeshakuwa taifa..linahitajika kutawala dunia direct (not through proxy anymore..

Guess what watakuwa taifa linalosimamia dhulma duniani..
 
Unaogopa nini? Mbona kila vita inapo tokea wana pewa bakora ni waarabu. Sasa kipi kipya unatemea, ni kupigwa bakora wale Waarabu mpaka waelewe kuwa kulilia ardhi ya watu ndio dhulma.

Unatamani hiyo vita ..itakuja tu..hakuna anayelia hapa..tunaeleza mtazamo wa world politics..
 
Topical ana chuki ya kufa mtu na Israel ndiyo maana anajifanya anajua Historia kuzidi mwalimu wake.
Historia ya Israel haijaanzia 1948 Kama unavyojidanganya.
 
Topical sijaelewa vizuri hii topic mzee. Yaani ISRAEL ishiriki kubomoa uchumi wa mfadhili wake mkuu ile iweje? Halafu zile $ billion 3 za kila mwaka zinazotolewa na Marekani kwenda Israel zitatoka wapi? Au kule kwenye Security Council nani atakeiwekea Israel kifua? Tafadhali nijuze mkuu.
 
Topical sijaelewa vizuri hii topic mzee. Yaani ISRAEL ishiriki kubomoa uchumi wa mfadhili wake mkuu ile iweje? Halafu zile $ billion 3 za kila mwaka zinazotolewa na Marekani kwenda Israel zitatoka wapi? Au kule kwenye Security Council nani atakeiwekea Israel kifua? Tafadhali nijuze mkuu.

Mkuu mimi nachoona ni kuwa Israel inataka kuwa World Super Power kama US..na ili hili litokee lazima uchumi wa US u-collapse..

Kitakachotokea ni kuwa wamerakani wataingia katika vita na maadui wa Israel (wakati huo yenyewe ikijiimarisha kiuchumi)..kama ambavyo waingereza walivyokuwa wamejiingiza kwenye vita WWII ndio uka mwisho wa kuwa super power..

Wakatai uchumi wa US uki collpase Israel inachukua nafasi..wala si china kama watau wanavyofikiri..
 
Historic trends..

UK (the world then) alitengeneza Israel 1948..though league of nations

UK ilipo collapse uchumi wa dunia kuhamia US..US ikianza "kuelea Israel" kwa kutumia fedha za taifa lake..

Israel imeshakuwa taifa..linahitajika kutawala dunia direct (not through proxy anymore..

Guess what watakuwa taifa linalosimamia dhulma duniani..


Na Israel walivyo ma-genius wakishausambaratisha uchumi wa US watahamia US si unajua Beijing na Hong Kong kuna Wayahudi wa kutosha waliokimbilia huko tangu vita ya 2 ya dunia? Wakishausambaratisha uchumi wa China watahamia India si unajua wako kibao Bombay na Bangalore (Unakumbuka mwaka juzi synagog la Wayahudi lililolipuliwa Bombay?). Wakitoka India watahamia Brazil maana nako wako wengi sana then watahamia Russia and the cycle will go on again and again till Jesus amerudi. Hata kama ikitokea kuna nchi ya ki-arab itakayo kuwa na uchumi mkubwa duniani nako watazamia na wao watakuwa waamuzi wa mwisho wa kila kitu. Usichezee MAYAHUDI HATA KORAN INAWATAMBUA HAWA WATU.
 
Historic trends..

UK (the world then) alitengeneza Israel 1948..though league of nations

UK ilipo collapse uchumi wa dunia kuhamia US..US ikianza "kuelea Israel" kwa kutumia fedha za taifa lake..

Israel imeshakuwa taifa..linahitajika kutawala dunia direct (not through proxy anymore..

Guess what watakuwa taifa linalosimamia dhulma duniani..


Na Israel walivyo ma-genius wakishausambaratisha uchumi wa US watahamia China(PRC) si unajua Beijing na Hong Kong kuna Wayahudi wa kutosha waliokimbilia huko tangu vita ya 2 ya dunia? Wakishausambaratisha uchumi wa China watahamia India si unajua wako kibao Bombay na Bangalore (Unakumbuka mwaka juzi synagog la Wayahudi lililolipuliwa Bombay?). Wakitoka India watahamia Brazil maana nako wako wengi sana then watahamia Russia and the cycle will go on again and again till Jesus amerudi. Hata kama ikitokea kuna nchi ya ki-arab itakayo kuwa na uchumi mkubwa duniani nako watazamia na wao watakuwa waamuzi wa mwisho wa kila kitu. Usichezee MAYAHUDI HATA KORAN INAWATAMBUA HAWA WATU.
 
Na Israel walivyo ma-genius wakishausambaratisha uchumi wa US watahamia China(PRC) si unajua Beijing na Hong Kong kuna Wayahudi wa kutosha waliokimbilia huko tangu vita ya 2 ya dunia? Wakishausambaratisha uchumi wa China watahamia India si unajua wako kibao Bombay na Bangalore (Unakumbuka mwaka juzi synagog la Wayahudi lililolipuliwa Bombay?). Wakitoka India watahamia Brazil maana nako wako wengi sana then watahamia Russia and the cycle will go on again and again till Jesus amerudi. Hata kama ikitokea kuna nchi ya ki-arab itakayo kuwa na uchumi mkubwa duniani nako watazamia na wao watakuwa waamuzi wa mwisho wa kila kitu. Usichezee MAYAHUDI HATA KORAN INAWATAMBUA HAWA WATU.

Magenius indeed, wamewa deceive wamekarani ngoja wa waangushe wawe super powers ndio watatia akili..
 
Back
Top Bottom