sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Miaka kama mitano hivi iliyopita kabla simba haijamilikiwa milele na kanji ilibidi itumike nguvu ya ziada kwa kutumia gharama kubwa kwenye sajili za wachezaji, matumizi, kununua uwanja, n.k. ili kuziasa imani ya wanasimba apewe timu na kweli alifanikiwa alipoinunua timu kwa bilioni 20 za kwenye bango kubwa.. Binti ushamtongoza kakupa ulichotaka kuna haja ipi ya kumotongoza tena ?, baada ya hapo zile mbwembe za kusajili wachezaji ghali zikaisha ghafala, kwa sasa timu imekuwa ni biashara kama zilivyo biashara zingine za bosi, inabidi kanunu ya "tumizi dogo faida kuwa kuba (kubwa)" ifatwe 😂😂 kwa sasa pale simba wachezaji inabidi wawe wa gharama za kawaida,,, hawa wazito wazito inabidi kwanza wabembelezwe bei zao zishuke, wasuburi mikataba yao iishe kwa kuogopa bei za kuvunja mkataba, kuomba mishahara yao ipungue, n.k. muda huo wa kuomba omba kuna timu zenye malengo huwa zinawapora simba wachezaji bila huruma, simba wanabaki kuhaha tu😂😂
.... Sajili zilizowalaza na viatu wapenzi wa soka Nchini Tanzania msimu huu.
1. 🇧🇫 Aziz Ki >>> Yanga
2. 🇨🇫 Manzoki >>> Dalian FC
3. 🇳🇪 Adebayor >>> RS Berkane
Alafu kuna mtu mzima na akili zake anaamini kwamba mchina kapasuka vibunda milioni 930 kumsajili Manzoki kwa miezi minne tu kisha Manzoki aje Tanzania, kwanini tusimuite KOLO😂😂😂 Milioni 930 hizo ni dau maradufu ya zile milioni mia nne na kitu ambazo simba walisanda.
.... Sajili zilizowalaza na viatu wapenzi wa soka Nchini Tanzania msimu huu.
1. 🇧🇫 Aziz Ki >>> Yanga
2. 🇨🇫 Manzoki >>> Dalian FC
3. 🇳🇪 Adebayor >>> RS Berkane
Alafu kuna mtu mzima na akili zake anaamini kwamba mchina kapasuka vibunda milioni 930 kumsajili Manzoki kwa miezi minne tu kisha Manzoki aje Tanzania, kwanini tusimuite KOLO😂😂😂 Milioni 930 hizo ni dau maradufu ya zile milioni mia nne na kitu ambazo simba walisanda.