Post uliyotoa hizo nnukuu mbili nimeshaelezea.YAHWEH au kwa kiswahili MUNGU ndio anaongelewa hapa
Mkuu ulishasema umefanya utafiti kuwa MUNGU hayupo nikasema well and good je huo utafiti uliufanyia wapi..... Ulitumia vigezo gani au nini kupima existence ya DEITY inayoitwa MUNGU maana sijawahi sikia kuna formula ya kisayansi inaweza tambua existence ya DEITY wwe umetumia ipi hadi ukasema kitu kinaitwa MUNGU hakipo.... yaani ulienda mbinguni ukamkuta hayupo au ulisoma kitabu tu ukaishia hipo nipe BASIS ya claim zako kama nilivyoomba toka mwanzo
Nasubiri ujibu hili ndio uulize maswali yote niko hapa kujibu siendi kokote leo
Okay so umeobserve kuwa concept ya uwepo wa Mungu inajicontradict ndio maana unasema hakuna EXISTENCE ya Mungu well and goodPost uliyotoa hizo nnukuu mbili nimeshaelezea.
A self contradicting concept cannot exist in reality apart from the concept itself.
Your God is self contradicting, for the reasons given.
Therefore, your God cannot exist.
Sasa ambacho hujaelewa hapo ni kipi?
Mbona hili nishalionesha hapo juu?Okay so umeobserve kuwa concept ya uwepo wa Mungu inajicontradict ndio maana unasema hakuna EXISTENCE ya Mungu well and good
Hivyo ni wapi nadharia ya uwepo wa Mungu imejicontradict tuanzie hapo
Kiranga mbona hueleweki ni kwamba unapinga kuwa DEITY inayoitwa MUNGU haipo au unapinga kuwa hiyo DEITY inayoitwa MUNGU haina sifa inazojisabihisha nazo ingawa inaexist???Mbona hili nishalionesha hapo juu?
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo?
This is a contradiction.
Ondoa contradiction hii.
Usiniambie habari ya dhambi. Mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haipo.
Usiniambie habari ya free will. Mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao free will ipo na tunaweza kuchagua mazuri tu.
Usiniambie habari ya shetani. Mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao Shetani haezi kuwepo.
Deity inayoitwa Mungu, yenye sifa za ujuzi wa yote, uwezo wote na upendo wote, iliyoumba ulimwengu huu, siyo tu haipo kiuhalisia, haiwezi kuwepo.Kiranga mbona hueleweki ni kwamba unapinga kuwa DEITY inayoitwa MUNGU haipo au unapinga kuwa hiyo DEITY inayoitwa MUNGU haina sifa inazojisabihisha nazo ingawa inaexist???
Embu eleza unataka kujua kipi kati ya hayo
Mkuu unajua bado unajicontradict hivi Uwepo wa Mungu unahusiana nini na ww kuhoji kuwa kama yupo kwanini kuna suffering kwanni kuna mabaya???Deity inayoitwa Mungu, yenye sifa za ujuzi wa yote, uwezo wote na upendo wote, iliyoumba ulimwengu huu, siyo tu haipo kiuhalisia, haiwezi kuwepo.
Kwa sababu, dhana ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe.
Kusema Mungu huyo yupo, ni sawa na kusema kuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika Euclidean geometry.
Kitu hicho kinasemeka tu, hakiwezi kuwepo, kwa sababu pembetatu haiwezi kuwa duara hapo hapo iwe "pembetatu duara"
Dhana ina contradiction. Contradiction hii inaifanya dhana ile isiweze kuwepo katika uhalisi.
Dhana ya Mungu kuwepo kiuhalisi ni kama dhana ya "pembetatu duara" hiyo kuwapo kiuhalisi.
Pembetatu duara haipo, kwa sababu dhana ya kuwapo kwake ina contradiction.
Mungu huyo hayupo, kwa sababu dhana ya kuwepo kwake ina contradiction.
Umeelewa mantiki ya argument yangu?Mkuu unajua bado unajicontradict hivi Uwepo wa Mungu unahusiana nini na ww kuhoji kuwa kama yupo kwanini kuna suffering kwanni kuna mabaya???
Yaani kama kuna reasons zina justify hayo mambo ya suffering na mabaya kuwepo je ina uhusiano gani na uwepo wa Mungu??
Je nkikupa reasons kwanini Mungu ameyaruhusu yote hayo je utakubali Mungu yupo au hayo mawili hayatenganishwi
Hapo ndipo sikuelewi kabisa unafungamanishaje kuwepo kwa Mungu na sababu zinazopelekea matatizo kuwepo??? Je ikiwa Mungu anauwezo wote na upendo ila karuhusu hayo kwa SABABU... Je inafanya existence yake isiwepo???
Argument yako nimeielewa ndio maana nasema inajichanganya maana unafungamanisha SIFA za huyo MUNGU na UWEPO wa huyo MUNGUUmeelewa mantiki ya argument yangu?
Nimekualika utatue contradictions, halafu unaniuliza ukinipa reasons, unajua kusoma?
Unaelewa kwamba unahubiri na hujatatua contradiction?Argument yako nimeielewa ndio maana nasema inajichanganya maana unafungamanisha SIFA za huyo MUNGU na UWEPO wa huyo MUNGU
Hivyo ni vitu viwili tofauti reason being
Unasema Mungu ni muweza wa yote kwanni aunde dhambi na mabaya why asiumbe perfect world...... Mungu ana upendo kwanni kuna shida na tabu n.k???
Ndio nachosema MUNGU existence yake haiwezi kuwa limited kwa IMPACT YA MAAMUZI yake.... Hayo yanakuwa mambo mawili tofauti yasiyofungamana
1. Mungu ana exist ana upendo na uweza wote..
2. Matatizo na mabaya na tabu yamekuja kupitia hukumu ya MUNGU kwa wanadamu....
Sasa contradiction ni ipi hapo
NB:Mungu ni mwenye upendo na haki na ndio biggest character zake na maamuzi yake yote yanarotate kupitia hizi sifa zake kuu 2.... Hivyo aliumba ulimwengu ukiwa perfect sababu ya UPENDO ila alihukumu sababu ya HAKI hivyo hakuna contradiction yeyote sababu kwake UPENDO na HAKI vinaenda sawia na ndio maana hata akihukumu bado anasamehe na akikupenda ila ukikosea anakuadhibu kama ambavyo kuna magonjwa kifo shida n.k so usivisubstitute na EXISTENCE YA MUNGU
Kiranga usipende kuhamisha mjadala ulichosema wwe ni kwamba Mungu muweza wa yote hawezi kuwepo sababu kama angekuwepo kwanini asiweze kufanya mambo yote yawe perfect and all blah blah so bakia hapo usilete nadharia na critique zingine maana hta kuna critique kibao tu dhidi ya atheists na naturalists nimeshasoma so don't make it a big dealUnaelewa kwamba unahubiri na hujatatua contradiction?
Unaelewa kwamba hakuna kipya utakachonihubiria wewe kumhusu Mungu huyo leo?
Unaelewa immanent critique ni nini?
Unaelewa kwamba nikikwambia pembetatu ambayo hapo hapo ni duara haiwezi kuwepo, kwa sababu pembetatu haiwezi kuwa hapo hapo duara, nimekwambia haipo, sijakwambia ipo ila tabia zake hazipo?
Hata hoja yangu hujaielewa.Kiranga usipende kuhamisha mjadala ulichosema wwe ni kwamba Mungu muweza wa yote hawezi kuwepo sababu kama angekuwepo kwanini asiweze kufanya mambo yote yawe perfect and all blah blah so bakia hapo usilete nadharia na critique zingine maana hta kuna critique kibao tu dhidi ya atheists na naturalists nimeshasoma so don't make it a big deal
Nlichohubiri as you say ni kwamba Existence ya Mungu haiwi limited na decisions zake ina maana Mungu anaweza kuexist amidst uwepo wa matatizo na mateso duniani no matter sababu ilizopelekea hayo kutokea ni nini hilo ndio nataka uelewe
Ikimaanisha God exists ila matatizo yanatokana na circumstances za hukumu ya Mungu kwa mwanadamu fullstop sasa ambacho kinajicontradict ni kipi???
Elewa kwanza nilichosema ndio ukosoe sio unaingia kwenye debate kwa kulazimisha majibu
God's existence is separated from circumstances of HIS decisions tuanzie hapo kwanza
Nmekuelewa sana ndio nmesema uwepo wa evil duniani ni circumstances za maamuzi ya MunguHata hoja yangu hujaielewa.
Contradiction ya problem of evil hujaitatua.
Kwa sababu Mungu wako hayupo.
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aamue kuumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?Nmekuelewa sana ndio nmesema uwepo wa evil duniani ni circumstances za maamuzi ya Mungu
Meaning ilitakiwa ukubali kuwa MUNGU ana exist ndio hapo ungehoji je kwanni hana consistency au kwanni anajicontradict as you say ila sio kufungamanisha hayo mawili wakati ni variable mbili tofauti kabisa sijui na wwe unaelewa nachosema
Maana kuna uwezekano wa DEITY kuexist na ikajicontradict at the same time ambayo inakuwa kitu tofauti kabisa na existence yake rejea myths za akina shamash na utnapishtim hicho ndio nataka ukigawanyishe ndio mjadala tutaelewana vizuri
Kiranga kiranga nlichotaka useparate kwanza God's existence and God's incosistence/contradictions ndio uhame hoja..... Ukishakubali ni vitu viwili tofauti ndio unahoji kwanini Mungu ana exist na bado anaruhusu majanga na blah blah zingine zitokee duniani baki hapo kwanza ukishatenganisha ndio uulize hilo swali lako lakini bado hufanyi hivyo tutafika kweli???Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aamue kuumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?
Hujajibu swali hili.
Nakuuliza, inakuwaje katika Euclidean geometry, ambapo tunajua pembetatu ina nyuzi 180, na duara lina nyuzi 360, kuwepo na pembetatu ambayo hapo hapo ni duara?
Unanijibu kuna uwezekano wa pembetatu kuwa duara hapo hapo katika Euclidean geometry, rejea hadithi za alfu lela ulela.
Onesha kivipi pembetatu inaweza kuwa duara hapo hapo. Usiniambie habary za myths.
Ukileta habari za myths, chochote kinaweza kuwa chochote na chochote hakiwezi kuwa chochote na chochote hakina maana yoyote na kina maana zote kwa wakati mmoja na wote na hata bila wakati!
Nimetofautisha.Kiranga kiranga nlichotaka useparate kwanza God's existence and God's incosistence/contradictions ndio uhame hoja..... Ukishakubali ni vitu viwili tofauti ndio unahoji kwanini Mungu ana exist na bado anaruhusu majanga na blah blah zingine zitokee duniani baki hapo kwanza ukishatenganisha ndio uulize hilo swali lako lakini bado hufanyi hivyo tutafika kweli???
Kiranga ndio maana huwa unaonekana kama watu hawawezi kujibu hoja it's because hutaki kuelewa wanachosemaNimetofautisha.
Nimesemakwamba, ili Mungu A awepo, inabidi characteristics zake ziweze kuwepo bila contradiction.
Katika Euclidean Geometry, ili pembetatu duara iwepo, inabidi dhana ya pembetatu ambayo hapo hapo ni duara iwezekane,isiwe na contradiction.
Katika Euclidean Geometry, dhana ya pembetatu ambayo ni duara haiwezi kusimama bila contradiction.
Kwa sababu pembe tatu inapembe tatu,duara haina pembe.
Pembe tatu ina nyuzi 180, duala lina nyuzi 360.
Hivyo, kwa sababu dhana ya pembetatu duara haiwezi kusimama bila contradiction, pembetatu ambayo hapo hapo ni duara haiwezi kuwepo, ni kitu cha kusemekana tu, lakini hakipo kiuhalisia.
Sasa wewe unaniambianitenganishe dhana ya pembetatu duara kutowezekana kuwepokwa sababu ya contradiction na pembetatu duara yenyewe.
Unataka kuleta mazingaombwe,abracadabra, karata tatu, a sleight of hand, mauzauza.
Kwa sababu huyo Mungu hayupo.
Unataka kulazimisha pembetatu ambayo hapo hapo ni duara ipo, hata kama dhana ya kuwepo kwake ina contradiction.
Unaelewa kwamba ukisharuhusu logical inconsistency na contradiction, umeruhusu kauli yako ya kwamba Mungu yupo imaanishe kwamba Mungu hayupo?Kiranga ndio maana huwa unaonekana kama watu hawawezi kujibu hoja it's because hutaki kuelewa wanachosema
Ni hivi nmeshasema separate existence ya Mungu from his contradictions/failures/decisions if at all they exist..... Nikisema kwamba assume GOD is incosistent meaning HE exists but at the same time he is incosistent sasa wwe ambacho unalazimisha kuwa ili aexist ni lazima asiwe incosistent na hapo ndipo hatuelewani
Kubali kwanza hicho kitu kinaexist alafu ndio uhoji kwanini anakuwa incosistent usilazimishe characteristic za kitu ziwe attached kwa existence ya hicho kitu
Mfano ukiona volcanic lava inatoka uji wa baridi je utasema sio volcanic lava kisa haipo consistent na lava reactions zingine zenye lava ya moto? Hapana lazima ukubali kuwa ile ni volcanic eruption then ndio uhoji je kwanni haipo consistent kama lava eruptions zingine
Nielewe hapo kwanza kiranga ndio tutasogea usifungamanishe characteristics ya kitu kutokuwa consistent thoughout its existence AND actual existence
I hope umeelewa nachosema..... Nasubiri utenganishe
Nakuuliza, inakuwaje katika Euclidean geometry, ambapo tunajua pembetatu ina nyuzi 180, na duara lina nyuzi 360, kuwepo na pembetatu ambayo hapo hapo ni duara?Kiranga kiranga nlichotaka useparate kwanza God's existence and God's incosistence/contradictions ndio uhame hoja..... Ukishakubali ni vitu viwili tofauti ndio unahoji kwanini Mungu ana exist na bado anaruhusu majanga na blah blah zingine zitokee duniani baki hapo kwanza ukishatenganisha ndio uulize hilo swali lako lakini bado hufanyi hivyo tutafika kweli???
Mkuu nilishajibu hili swalNakuuliza, inakuwaje katika Euclidean geometry, ambapo tunajua pembetatu ina nyuzi 180, na duara lina nyuzi 360, kuwepo na pembetatu ambayo hapo hapo ni duara?
Unanijibu kuna uwezekano wa pembetatu kuwa duara hapo hapo katika Euclidean geometry, rejea hadithi za alfu lela ulela.
Onesha kivipi pembetatu inaweza kuwa duara hapo hapo. Usiniambie habary za myths.
Ukileta habari za myths, chochote kinaweza kuwa chochote na chochote hakiwezi kuwa chochote na chochote hakina maana yoyote na kina maana zote kwa wakati mmoja na wote na hata bila wakati!
Mkuu hoja ya Kiranga iko hapo!......ukiweza kudadavua hiyo hoja hapo umemaliza kazi!....jibu kwanza hizo hoja hapo!
Mkuu nilishajibu nimesema soma post za page ya nyuma hapo utaona ila yeye amesema NAHUBIRI sio kujibu sasa cjui anataka nitoe sababu ganiNakuuliza, inakuwaje katika Euclidean geometry, ambapo tunajua pembetatu ina nyuzi 180, na duara lina nyuzi 360, kuwepo na pembetatu ambayo hapo hapo ni duara?
Unanijibu kuna uwezekano wa pembetatu kuwa duara hapo hapo katika Euclidean geometry, rejea hadithi za alfu lela ulela.
Onesha kivipi pembetatu inaweza kuwa duara hapo hapo. Usiniambie habary za myths.
Ukileta habari za myths, chochote kinaweza kuwa chochote na chochote hakiwezi kuwa chochote na chochote hakina maana yoyote na kina maana zote kwa wakati mmoja na wote na hata bila wakati!
Mkuu hoja ya Kiranga iko hapo![emoji115]......ukiweza kudadavua hiyo hoja hapo umemaliza kazi!....jibu kwanza hizo hoja hapo!