I can see, kwa Iran kuwa na technology ya kutengeneza drone is unsafe to the entire World. it sound biter kwa Nchi kama Israel, kwani hawa jamaa hawaaminiki hata kidogo. Lakini, kwa nchi kama Tanzania tuna cha kujifunza hapa. wanasayansi wetu(kama wapo) waanze kutengeneza Silaha kwa Matumizi yetu wenyewe. (Jeshi, Polisi na Taasisi nyingine zinazoruhusiwa kutumia silaha kwa mujibu wa taratibu na sheria za nchi) siyo hata SMG tuna-import kutoka china. wanasiasa amkeni, anzeni mkakati wa kuwekeza kwenye military ikiwa ni pamoja na kujenga kiwanda cha silaha. (Ammution factory)