Kuna Missiles iran wametengeneza ni fake ndio wanazo zipiga wamezitia kiasi fuel zikipigwa zinawaka.
Okay tuchukulia kapiga kwani Iran ana Missiles ngapi kwenye akili yako, kumbuka Iran hizo iMissiles zilizo toka kwenye nventory zingine zinaingia ni output na input katika mda huo.
Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, alisema Tehran haina nia ya kufanya mazungumzo ya kusitisha vita hadi Israel wasimamishe mashambulizi yake. Kama wataendelea na sisi tuendelea kuwashambulia.