GreatSeal
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,773
- 3,061
Hahaha achana na hawa wakuu wa vipedo mkuu...yale yale ya saddam ya green line
Mbona tayari ile manowari ya Abraham Lincoln ipo huko Strait of Hormuz au wewe muiran wa Keko Machungwa unataka wafanye nini sasa. Waambieni wairan basi wawarushie hata rungu.