Wanaweza kuchukua viongozi kutoka hapa ili kuendeleza nepotism:
Archive: UPENDELEO WA WATOTO WA VIGOGO MAKAZINI
BARAZA LA MAWAZIRI
Angela Kairuki – mtoto wa mama Mkwizu ni naibu waziri wa sheria
January Makamba – mtoto wa makamba ni naibu waziri wa teknologia
Dr Mathayo David Matahayo (Mathayo Cleopa David Msuya) – mtot eaMsuya ni Naibu waziri
Hussein Mwinyi – Mtoto wa Mwinyi ni waziri wa afya
Abdallah Mwinyi- mtoto wa mwinyi ni Mbunge wa EAC
WAKUU WA WILAYA
Gerald J. Guninita - Wilayaya Kilolo
Paul Mzindakaya - Wilayaya Busega (mpya)
Festo Kiswaga - Wilaya ya Nanyumbu (yuko ukoo wa mamaMongela)
Khanifa M. Karamagi - Wilaya ya Gairo (mpya)
Husna Mwilima - Wilaya ya Mbogwe (mpya)
John V. K. Mongella - Wilaya ya Arusha
John B. Henjewele - Wilaya ya Tarime
Agnes Hokororo – Wilaya ya Ruangwa
WABUNGE
Vita Kawawa
Zainabu Kawawa
January Makamba
Livingston Lusinde Malecela
SERIKALINI
Janeth George Kahama, - Mganga Mkuu waJiji la Dar es salaam
Dk. Hawa Rashidi Kawawa - Mganga MkuuMsaidizi wa Jiji la Dar es Salaam
Dk. Guni Kate Kamba - Mganga Mkuu waManispaa ya Kinondoni
Dk. Asha Omar Mahita - Mganga Mkuu wa Manispaa ya Ilala
Dk. Amani Kighoma Malima - MgangaMfadhiwi wa Hospitali ya Temeke
VYAMA VYA SIASA
Nape NNauye – mtoto wa Moses Nnauye nikatibu mwenezi CCM
January Makamba – Mtoto wa Yusufu Makamba
WATOTO WA VIGOGO WALIOPITAUVCCM NGAZI YA TAIFA.
1. DICKSON MEMBE
2. FREDY LOWASA
3. RIDHIWANI KIKWETE
4. ASHURA HUSSEIN MWINYI
5. BEN SAMWEL SITTA
6. DEBORA MWANDOSYA
7. IRENE PINDA
8. FELISTER NDUGAI
9. CHRISTOPHER NDEJEMBI
10. SHARIFA BILAL
11. HAWA KIGODA
12. JUDITH MUKAMA
13. JALOME MSEKWA
14. MBONI MHITA
15. JONAS NKYA
MASHIRIKA, TAASISI, MAKAMPUNI BINAFSI NA YA UMMA
Emanuel Mongela – mtoto wa mama Mongelani ofisa benki ya standard charter Arusha
Patrick Mongela - MKURUGENZI waUendeshaji wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF)
Mwamvita Makamba – mtoto wayusufu Makamba mi ofisa wa ngazi ya juu VODACOM
Nafue Nyange Kilango Malecela-Mtoto wa Anna Kilango Malecela ni ofisa wa ngazi ya Juu NSSF
Watoto wa Vigogo BOT
Salama Ali Hassan Mwinyi
Filbert Tluway Sumaye
Zaria Rashid Kawawa
Blasia William Mkapa
Herriet Marten Lumbanga
Pamela Edward Lowassa
Rachel Muganda
Salma Omary Mahita
Justine Mungai
Kenneth Nchimbi
Violet Philemon Luhanjo
Liku Kate Kamba
Thomas Mongela
Jabir Abdallah Kigoda