Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,261
- 7,195
JK kavunja baraza la mawaziri mara nyingi, na bado hajaweza weka mawaziri wapya na wazuri, kawarudisha wengine akijitetea kwa sababu nyepesi.Ila wote bado wanaboronga.Kawapa semina elekezi bado bundi hajahama nyumba ya CCM.
Balaa kubwa zaidi ni chaguzi za kitaifa za CCM, CCM haijaweza pata kiongozi ktk rundo la waganga njaa ,wala na watoa rushwa,ma don wa ufisadi.CCM kwa mbwembwe wamechagua mzigo mkubwa zaidi za uchafu.Mtu kama kinana aliyeaminika kuwa ndio msafi na shupavu, anashindwa jibu kwanini kampuni yake imekuwa njia salama ya wapora maliasili zetu.Anatoa majibu mepesi.
Hadi sasa waliondoka na walioingia ni mizigo kwa CCM, raisi aliyepo naye anatafuta nyika nyoka mwenye ndimi mbili ktk kundi la nyoka.Sijui ndio anategemea baadaye ashike wote ili ngoma iwe droo au lah.Kwani nyoka wote wana ndimi mbili.Na hii ni baada ya mgamba kugoma vuka.
Ipo wapi hiyo safu nene wanayotembea kifua mbele wana CCM wakiamini ipo?Tunaomba tuambiwe ,tuonyeshwe tuwaone.
Balaa kubwa zaidi ni chaguzi za kitaifa za CCM, CCM haijaweza pata kiongozi ktk rundo la waganga njaa ,wala na watoa rushwa,ma don wa ufisadi.CCM kwa mbwembwe wamechagua mzigo mkubwa zaidi za uchafu.Mtu kama kinana aliyeaminika kuwa ndio msafi na shupavu, anashindwa jibu kwanini kampuni yake imekuwa njia salama ya wapora maliasili zetu.Anatoa majibu mepesi.
Hadi sasa waliondoka na walioingia ni mizigo kwa CCM, raisi aliyepo naye anatafuta nyika nyoka mwenye ndimi mbili ktk kundi la nyoka.Sijui ndio anategemea baadaye ashike wote ili ngoma iwe droo au lah.Kwani nyoka wote wana ndimi mbili.Na hii ni baada ya mgamba kugoma vuka.
Ipo wapi hiyo safu nene wanayotembea kifua mbele wana CCM wakiamini ipo?Tunaomba tuambiwe ,tuonyeshwe tuwaone.