Wanajamvi naomben kujua kati ya bachelor of science in economics and finance VS bachelor of public sector Accounting and finance ipi nzr na ina upana wa ajira na kujiajiri?
Wanajamvi naomben kujua kati ya bachelor of science in economics and finance VS bachelor of public sector Accounting and finance ipi nzr na ina upana wa ajira na kujiajiri?
Wanajamvi naomben kujua kati ya bachelor of science in economics and finance VS bachelor of public sector Accounting and finance ipi nzr na ina upana wa ajira na kujiajiri?
Mi sina CPA na nimepata boss tena serikalini shirika kubwa tu japo nime hussle muhimu afanye anachopenda nakumbuka pia hata mimi nilikatishwa sana tamaa mtoto wa kimaskini unasoma uhasibu utaishia mtaani kumbe sivyo muhimu tu uwe smart na unachokisoma.