nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 828
Naanza na salamu kwa Wakubwa, bila kuwasahau Wadogo.
Nilishakuja hapa JF kuomba ushauri kutaka kuahirisha chuo kwa kijana wangu baada ya (mimi) kukwama kiuchumi ili aje mtaani tupambane na mwaka unaofuata akaombe kuendelea na Bachelor yake. ( ninawashukuru wote waliochangia hoja.)
Katika pitapita zangu nimepelekwa kwa wafadhili niliwapa hoja yangu kwanini nimewafuata, wapo walioguswa na kuahidi kutoa ufadhili aidha uwe wa Mali au Hali.
Kilichonileta kwenu wana JF nikuomba ushauri utakaokidhi matakwa yangu. Mmoja wa hao wafadhili kaniambia nitafute washauri ambao watanishauri, anunue gari dogo ili tuingie nae Mkataba kwa ajili ya kufanyabiashara ya Taxi mtandao, au niendesha Daladala na kupeleka Hesabu.
Nilishakuja hapa JF kuomba ushauri kutaka kuahirisha chuo kwa kijana wangu baada ya (mimi) kukwama kiuchumi ili aje mtaani tupambane na mwaka unaofuata akaombe kuendelea na Bachelor yake. ( ninawashukuru wote waliochangia hoja.)
Katika pitapita zangu nimepelekwa kwa wafadhili niliwapa hoja yangu kwanini nimewafuata, wapo walioguswa na kuahidi kutoa ufadhili aidha uwe wa Mali au Hali.
Kilichonileta kwenu wana JF nikuomba ushauri utakaokidhi matakwa yangu. Mmoja wa hao wafadhili kaniambia nitafute washauri ambao watanishauri, anunue gari dogo ili tuingie nae Mkataba kwa ajili ya kufanyabiashara ya Taxi mtandao, au niendesha Daladala na kupeleka Hesabu.