Yaani unamaanisha milioni moja na laki nne (1,400,000)??
Sasa ulitaka hii simu iuzwe kiasi gani??..wakati ikiwa mpya ilivyotoka ilikuwa inatembea kwa 2.7m+Yaani unamaanisha milioni moja na laki nne (1,400,000)??
Hata kiduku lilo anaweza kukununuliaWe kibabu emu pita huku Kibabu chenye pesa ndefu
Bei rahisi sana iyoo ..dah !!Sasa ulitaka hii simu iuzwe kiasi gani??..wakati ikiwa mpya ilivyotoka ilikuwa inatembea kwa 2.7m+
Iyo 1.4 ni bei ya iPhone 7+ ukiotea dukani..Yaani unamaanisha milioni moja na laki nne (1,400,000)??
Mkuu uo mzigo GB256 afu unauza bei cheee sana ..iyo 1.4 ni bei ya 8+ uko..ila kama kwa iyo bei ni sawa kwako fresh!! Utapata tu...
Hamna mkuu nilidhani labda umesahau umeongeza sifuri bahati mbayaSasa ulitaka hii simu iuzwe kiasi gani??..wakati ikiwa mpya ilivyotoka ilikuwa inatembea kwa 2.7m+
Umejuaje mkuuNaona hapo mkuu umeiwaza bodaboda!hahaaa,life is not fear