Nauza used Iphone 6s plus 64gb iliyonunuliwa Europe. Imetumika kwa takribani mwaka na nusu. Cover ya USB cable imekatika kwa juu (angalia pichani) but yafanya kazi kama kawaida. Pata simu original pamoja na accessories zake (charger na ear phones) kwa 975,000.
Ikiwa ktk housing (picha No. 4 & 5).
Lete 950K, kumbuka product zinazopelekwa/kuuzwa Europe ni za quality ya juu zaidi. Na ndio maana bei za simu Europe ziko juu zaidi kuliko bei za simu aina hizo hizo Afrika(Tz).
Lete 950K, kumbuka product zinazopelekwa/kuuzwa Europe ni za quality ya juu zaidi. Na ndio maana bei za simu Europe ziko juu zaidi kuliko bei za simu aina hizo hizo Afrika(Tz).
Duh! Yaani unalazimisha kufananisha Iphone 6s Plus 64 GB na Iphone 6 Plus 64 GB!
Kwa wajuvi wa mambo watakushangaa hata bei zake zikiwa mpya zatofautiana hasa. 6s Plus ni ya juu zaidi ya 6 Plus. Embu google kidogo upate somo na ucheki hata bei zake zikoje.
Lete 950K, kumbuka product zinazopelekwa/kuuzwa Europe ni za quality ya juu zaidi. Na ndio maana bei za simu Europe ziko juu zaidi kuliko bei za simu aina hizo hizo Afrika(Tz).