iPhone 6 plus


Mkuu hauna haja ya kumtukana aisee, huo ndio ukwel unapo reset lazima uweke password sasa ulifanikiwa vp kureset km hauna password? Wewe ni liongo tena kikubwa hiyo simu ni ya uwizi, narudia tena ulifanyaje reset bila password? Utachomwa moto kwa tabia ya uongo na uwizi, Haya msalimie mkoe mpe zawadi ya kukutunzia password.
 

hahahahahhahah Sawa Mkuuu daah Patamuu apo...Ni sawa na kuingia geto kupitiaa mlangoni alafu mwisho wa siku umadai mlango huuoni sasa unataka kutokea dirishani''
 
So dangerous asee next time unaweza kufungwa asee Apple products are so delicate:check na mimi japo itakugharimu kiongozi +255785777962
 
So dangerous asee next time unaweza kufungwa asee Apple products are so delicate:check na mimi japo itakugharimu kiongozi +255785777962

We nawe ni litapeli mbona husomi hapo juu unakuja unaandika linamba lako la simu Mtato
 
Acha hasira Jerrytz au (J J Mwas..........) maliza kwanza kesi yako na serikali juu ya ubadhilifu uliofanya TRA kabla ya kupelekwa hazina.
Ni waz kuwa we si mwizi wa mfukoni ila hela ya serikali yetu umekula sana kwa msaada wa baba mkwe wako.

usikatae kuwa ni mwizi rekodi yako pale TRA inaonyesha hivyo.

Nyie ndio vijana mliosoma kwa hela ya serikali na sasa mnaimaliza hii serikali, machungu yako juu ya rushwa yapo wapi kama ilivyokuwa pale UDSM miaka ya 2000's .....
 
Mkuu,
Huwa situmii vya wizi, hii niliinunua wakati huo safari za nje zilikuwa hazijasitishwa, so pole kwa kupoteza simu yako.
Na bahati nzuri wife amekumbuka password yake, so tatizo limeeisha.

Unajisifu kuwa ulikuwa unasafiri sana sio, kumbuka zile gari na nyumba serikali itavibeba, Acha hasira Jerrytz au (J J Mwas..........) maliza kwanza kesi yako na serikali juu ya ubadhilifu uliofanya TRA kabla ya kupelekwa hazina.
Ni waz kuwa we si mwizi wa mfukoni ila hela ya serikali yetu umekula sana kwa msaada wa baba mkwe wako.

usikatae kuwa ni mwizi rekodi yako pale TRA inaonyesha hivyo.

Nyie ndio vijana mliosoma kwa hela ya serikali na sasa mnaimaliza hii serikali, machungu yako juu ya rushwa yapo wapi kama ilivyokuwa pale UDSM miaka ya 2000's .....
 

Sio kuchomwa, huyu atafungwa na serikali ingekuwa china angepigwa risasi ila hapa atahamishwa idara na wizara, kapiga sana huyu dogo pale tra, sasa amepelekwa hazina hajui kuwa tuna files zake, amejaa dharau kwa kuwa tu ana vijisent vya kuiba.ila kwa serikali hii mwisho wake umefika
 



Natoa icloud permanent kupitia server kwa pesa za kenya ksh.25,000(iphone 5,5s na 5c) na ksh.30,000 kwa iphone 6 na 6 plus ambazo ziko clean(yaani haziko kwenye lost mode) kwa siku7,14,21,na 28 za kazi ila simu lazima iwe oficn kwangu kwa muda wote inaposhughulikiwa.

Pia nazinunua zikiwa na acloud hivo hivo kama mtu anauza

Kwa mawasiliano nicheck whatsapp number +8613320286695.

Niko Mwanza Tanzania.
 

Tatizo langu lilishapata ufumbuzi mkuu
 
Baada ya watu kumshammbulia jamaa amegeuza ghafla na kusema now it works my wife wake kakumbuka password? humu ndani kuna vituko. haya ndugu mshukuru "wife" kwa kukumbuka.ila akisahau tena nitakwambia nani anaweza kuishugulikia hiyo kitu unamlipa baada ya kuwa amemamliza kukupatia password not before. ila usiogope changamoto za humu ndani maana usikimbie hoja kiurahisi baada ya kuona wadau wanakugonga kila kona. ndo wanakukomaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…