Ha ha ha ha hamimi nna tecno werevaa maisha yangu yote.
na ikiibiwa hii basi ndo narudi analog
Hivi unajua Nina wasiwasi na wewe usijekuwa mchawi tu. Unafurahiaje mm kutiwa umasikini???Sio kwa relato huyo ninae mjua Mimi. Yeye na iPhone ni habari mbili tofauti. Kuna kipindi alipewaga iPhone 4s,ha ha ha ha alikaa nayo wiki tu akairudisha haitakiakapewaga s5. Na Ndio Maana wakakukomesha pale mtaa wa Kongo. Ulikuwa unanitesaga we mpuuzi wewe na Ka s5 kako. Sasa hivi sote tuko kwenye tecno wereva
Tecno sim poa sana kwa matunizi ya kawaida nimetumua w5 kwa week moja nilipenda battery na iko fastet tu kwa matumizi ya dailyHa ha ha ha haHata Mimi sasa hivo Niko tecno wereve shoga angu. Toka niibiwe Ka s5 kangu mtaa wa sina hamu. Nimebaki na tecno wereva c8 Hata wakitaka kuiiba waiibe tu,lakini nilivyo makini nayo. Toka niibiwe nimeacha upuuzi wa kutokuwa makini na mkoba wangu
Wereva nzuri inakaa na chaji. Unlike Samsung is my loyal brand but wanakera chaji hamna kituTecno sim poa sana kwa matunizi ya kawaida nimetumua w5 kwa week moja nilipenda battery na iko fastet tu kwa matumizi ya daily
mimi mpaka ziwa linataka kupata kutu nnavolijaza hel/simuHa ha ha ha haHata Mimi sasa hivo Niko tecno wereve shoga angu. Toka niibiwe Ka s5 kangu mtaa wa sina hamu. Nimebaki na tecno wereva c8 Hata wakitaka kuiiba waiibe tu,lakini nilivyo makini nayo. Toka niibiwe nimeacha upuuzi wa kutokuwa makini na mkoba wangu
Wereva woyeeSio kwa relato huyo ninae mjua Mimi. Yeye na iPhone ni habari mbili tofauti. Kuna kipindi alipewaga iPhone 4s,ha ha ha ha alikaa nayo wiki tu akairudisha haitakiakapewaga s5. Na Ndio Maana wakakukomesha pale mtaa wa Kongo. Ulikuwa unanitesaga we mpuuzi wewe na Ka s5 kako. Sasa hivi sote tuko kwenye tecno wereva
Wereva woyeeSio kwa relato huyo ninae mjua Mimi. Yeye na iPhone ni habari mbili tofauti. Kuna kipindi alipewaga iPhone 4s,ha ha ha ha alikaa nayo wiki tu akairudisha haitakiakapewaga s5. Na Ndio Maana wakakukomesha pale mtaa wa Kongo. Ulikuwa unanitesaga we mpuuzi wewe na Ka s5 kako. Sasa hivi sote tuko kwenye tecno wereva
Hallelujah..Uje nikupe uchukue toleo lingine
Nitafutie mdada mwenye chura nikupe iphone13 bure!hizi simu ntaishia kuzisoma humu tu
umaskini mbaya sana
chura futi ngap sasaNitafutie mdada mwenye chura nikupe iphone13 bure!