Nauza used iphone 5 16gb white IOS 8.1 kwa tsh 500,000/- iko katika hali nzuri haina mchubuko wowote kama uko interest ni PmView attachment 201401View attachment 201402View attachment 201403View attachment 201404View attachment 201405
Mkuu chukua 200000...
Mimi ninahitaji ni pm Biashara tutafanya Leo hii hii.
isije ikawa imetumika upiga matukio au yenyewe ni tukio tosha maana pana IMEI codes na watu wanazisaka sana, pana jamaa imemtokea puani hizo simu used kumbe imeporwa sehemu!
wasiliana nami throw private massege
Mkuu chukua 200000...
Haina masilah370k pm mkuu
Hizi cm bwana Kiboko, ukiuziwa yenye Apple ID usiichukue maana Hakuna mwenye uwezo wa kuitoa/kuflash... Jamaa anazo za kupigwa airport Kampa mtoto anachezea imeshindikana kutoa lock!!
Nauza used iphone 5 16gb white IOS 8.1 kwa tsh 500,000/- iko katika hali nzuri haina mchubuko wowote kama uko interest ni Pm