Freeman Patrick
Senior Member
- Jul 10, 2012
- 132
- 13
Naomba kufahamu bei halisi ya iPhone 4s 16GB ..... Msaada tafadahili...
Mkononi 650 lakini ni mpya kabisa haijatumika ndo bei yake,,kama unataka niPM
Umeshaambiwa mpya kabisa 650 sasa bado unaulizia brand new kama vipi nenda California makao makuu ya AppleMkuu nauliza bei ya dukani ikiwa brand new....